Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
mkuu angelita wewe bado ni mdogo sana
(1) ashatembea na wanaume wangapi?
(2) aliyefingua njia alikutenda au ulimtenda?
(3) hufikirii ndoa bado unazipima hujapata saizi unayoitaka?
(4)ukiolewa utamchukulije atakae kuibia mume ikiwa ww unaiba wa wenzako
atakuja kujibu uskute kalala muda huu ajibu maswali15 ashindwe hilo moja then msiamuattack personaly cc Tee Bag
mume watu jua fika hawezi kukuoa kwa nn usitafute wakwako peke yako au usbazoea kupigwa na kuwachwa
1. Sijaweka rejesita ya wanaume niliotembea nao
2. We drifted apart such is life
3. am too young
4. Kuchapiwa ni siri ya ndani
Huyu mume wa Mtu tulivyoanza sikujua kama ana mke alikuja kuniambia katikati.
Niliumia roho kiasi chake lakini nikaangalia mazuri aliyonitendea imenibidi niendelee naye life is not fair.
Asiridhie vipi wakati dini imeruhusu 4!!!!!!!!!!!!mke wa pili ni sunna. assume ww ndio mke mkubwa je ungeridhila kuolewa mke mwenzako?
Huyu mume wa Mtu tulivyoanza sikujua kama ana mke alikuja kuniambia katikati.
Niliumia roho kiasi chake lakini nikaangalia mazuri aliyonitendea imenibidi niendelee naye life is not fair.
Asiridhie vipi wakati dini imeruhusu 4!!!!!!!!!!!!
angelita as long as unatoka na mume wa mtu, vipi huyo mke wa jamaa unamfahamu/ulishawahi kumuona? Na ulijisikiaje/unajisikiaje ndani ya nafsi yako kuona kwamba unachukua share ya mwenzio?
Je, ushawahi kuchunguza ama kutokea ukajua treatment ambayo jamaa anatoa kwa mkewe na familia yake kiujumla? If yes zikoje ukilinganisha na zile huduma upatazo wewe?
hayo mambo mazuri anayokufanyia coz ww ni mchepuko hata kwake hafanyi hayo, akikuweka ndani hayo mazuri yatahamia kwa mchepuko mwengine ww itajichululiaje? kama anaweza kumtenda mkewe hatoshindwa kukutenda pindi akikumiliki
Namfahamu na bahati nzuri anatambua uwepo wangu mana nimwaka wa3 sasa niko na mumewe. Nakwakuwa dini yao inaruhusu mke zaidi ya 1 alitoa ruksa mumewe kuhalalisha ila mimi sipo tayari. Kama mwanamke najisikia vibaya ila ndio ishatokea.
Heshima yake kwa mkewe haijashuka, anamuheshimu kama mwanzo, ikiwa pamoja na matunzo tena wanapata mara3 zaidi ya nipatacho Mimi.
Kuna swali langu nimekuuliza hapo awali,naomba nilirudie
Ukipata mtu ambaye Si mume wa mtu bado utakuwa una date naye kwa mlengo wa kuenjoy bila kuwa na expectations zozote?
Swali la ziada
Unapata changamoto zipi kutoka na mme wa mtu? Na una zikabiri vipi?