lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
Waache waige za kuambiwa changanya na zako once ukiiga life style la mtu lazima ile kwako bongo ni virse versa kuigana vitu visivo na maana
Hahahaaaaaaaaa! KINACHOFANYA ULIWE NA MTU YOYOTE SI TU MUME WA MTU NI NJAA ZAKO TU! PERIOD! Hakuna cha influence wala kuiga. Una njaa, mume wa mtu ana maziwa akikukaribisha njaa ndo itakayo kufanya ukubali wala sio kisa flani ana mume wa mtu! Maybe labda sababu Lara nae ana mume wa mtu itakufanya tu ulale usiku bila jinamizi! Hahaaaaaa! Njaa yako ndo iliyokuingiza kingi.
Na wala hamna mtu naive humuuu apigwe FREE P na mume wa mtu kisa flani ana mume wa mtu. Thubutuuuuuu! IT IS ALWAYS ABOUT THE MONEY!
Hii theory ya kuiga kitu cha roho ngumu kama kutoka na mume wa mtu hai hold water kabisaaa!