MMU hot talk

MMU hot talk

Habari yako nyumba kubwa...Kwa umalaya huu tena mtu yuko proud kazi ipo tena si kidogo....

SHAME!

Umalaya unaujua??????? Kwanza bila umalaya sidhani kama wewe ungekuwepo, ule umalaya uliofanyika wa kukata viuno ukatokea ndo umalaya.
Shame on you who are you to judge me??????
 
Usikimbie muswada Wa HOT TALK! Hahaaa! Stand for what you believe in! Don't tell me you are chickening out already!

Who me!!!...I aint backing off...I play it cool..in a gentleman way...I bite and cool it...
Back to topic-stop sticking on "MBA's" and come up with new initiatives and strategies to get one of your own(solely)...we call it "going next level in a good way"
 
Umalaya unaujua??????? Kwanza bila umalaya sidhani kama wewe ungekuwepo, ule umalaya uliofanyika wa kukata viuno ukatokea ndo umalaya.
Shame on you who are you to judge me??????

Ndugu unatafta BAN au unanitaftia BAN??....nime mquote nyumba kubwa sijui imekuwaje wewe umekereka?

sasa kuiba waume za watu tunaitaje labda? tusaidie....
 
Last edited by a moderator:
Iweje Lara 1 ajibu kila comment kama ndiye interviewee...au macho yangu...
Kwa nini asipewe nafasi muhusika ku respond?

Kila mtu anahaki ya kujibu pale anapoona swali ambalo jibu analo, na si lara 1 pekee aliyejibu humu.

Hata hivyo sina cha zaidi chakuwajibu maswali yote nimejibu ukiona sijajibu ujue halina maana zaidi hiki kinachoendelea ni ubishani tu.
Nimejibu ukweli wangu sasa sijui mlitaka nijibu uongo kufurahisha hadhara.

Sijivunii ila sijutii pia ni njia yangu niliyochagua kupita faida na hasara nazijua mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
kashengo

Hahahaaaaaaaaaaa! HIO DHAMIRA YAKO TU INADAI HAKI LAKINI KIUHALISIA HAKUNA KITU KAMA HICHO!

Psheeeew! Anga mbaya ndo zipi? WAKE ZA MAWAZIRI, MAWAZII WENYEWE WA KIKE WANAMEGEMWA NA WANATULIA TULIII, KATIBA NDO ISHARUHU UTAFANYAJE SASA? Sana sana wake za watu wengi WANAFUMBA MACHO TU MASKINI YA MUNGU NA KUJISAHAULISHA UKWELI, AU WANAJIZOEZA KUCHUKULI POA! Wake business magnets wenyewe wanamegewa! Wapi mama 2 miss mstaafu! THERE IS NOTHING, ABSOLUTELY NOTHING THAT CAN BE DONE!

Haahaaaaaaaaa! Mwenyewe sio mwepesi hata kidogo! Ukinimwagia tindikali ubebe vifaranga vyakomuhame nchi lasivo ujue VITA HAITOSIHA, na mie nakutumia miteja tu, afu nachukua na video kabisaa mke wa mtu kafumaniwa! Hhahaaaa! Mjini hapa! KUSAMEHE KUNA FAIDA KULIKO VITA AFTER ALL THERE IS ENOUGH FOR EVERYBODY!:A S wink:

Ubaya hauna mwisho ndugu yangu, NA SIKUOMBEI MABAYA ILA WAKE ZA WATU KIBAOOOOOOO KUFUNGASHIWA VIRAGO PAMOJA NA KUPIGA MAGOTI KUMEWAHUSU, WENGINE WANAKESHA KANISANI MUDA HUU KUOMBA WAUME WAKUMBUKE GETI LA HOME MAANA IT HAS BEEN 10 YRS, YUKO MJINI NA HATAKI KUKUONA UMEBAKISHA PICHA ZA HARUSI TU SEBULENI! Hahahaaaaa! (Its not a laughing matter) Acha wale wa kuzaa nje, mama zao unawajua na jeuri ya kuwarushia kijiko tu acha kopo la tindikali hunaa, na wanakuja ndani kwako, wanakaa kwenye kochi lako, UNAMKARIBISHA JUICE YAKO, kumngoja mume wako awape hela ya matumizi ya mtoto! Hahahaaaaaaa! it s not a laughing matter again! uTAFANYAJE NDO YASHAKUKUTA TENAAAA! NDO MAISHA TULIYOKULIA WENGI WETU MTAANI, NA MAMA ZETU WALIUFYATA KIMYAAAAA! Hizi story zenu za tindi kali ni just your WILDEST DREAMS!
 
Last edited by a moderator:
Watu mna mambo sana, Mkuu kwa mara ya kwanza maisha yangu ya JF leo nimecheka hadi machozi yananitoka hapa.

Ulichoniua zaidi umeiingiza kimya kimya, sikutegemea kukutana na kitu kama hiki, wewe kwa siku yangu ya leo umemaliza hakuna

hahahhaa CYBERTEQ ana vituko hatariii
 
Last edited by a moderator:
Umalaya unaujua??????? Kwanza bila umalaya sidhani kama wewe ungekuwepo, ule umalaya uliofanyika wa kukata viuno ukatokea ndo umalaya.
Shame on you who are you to judge me??????

Mmmhm...HOT TALK is turning nastier now.....hashtag NASTY TALK..or sorry #NASTY TALK
 
Who me!!!...I aint backing off...I play it cool..in a gentleman way...I bite and cool it...
Back to topic-stop sticking on "MBA's" and come up with new initiatives and strategies to get one of your own(solely)...we call it "going next level in a good way"

Hahahaaaaaaaaaa! Dude you havent bitten shit! All you have been doin is PREACHIN AND WHINING LIKE A LITTLE GIRL!

A LEOPARD CAN NEVER CHANGE ITS SPOTS NO MATTER HOW MANY TIMES IT TAKES BATH!
 
Haahaaaaaaaaa! Mwenyewe sio mwepesi hata kidogo! Ukinimwagia tindikali ubebe vifaranga vyakomuhame nchi lasivo ujue VITA HAITOSIHA, na mie nakutumia miteja tu, afu nachukua na video kabisaa mke wa mtu kafumaniwa

Acha basi...Usiombe tu umwagiwe ndo utajuta....

Si Wildest Dream....inaweza kukutokea, kwa kuwa we ushakuwa nunda kuna nunda mwenzako arround the corner

silipatii picha hilo balaa lake siku yakikukuta....

YETU MAJICHO :wacko:
 
Wabongo sie kitu utulivu hatuwezi kabisa, tungewasubiri wahusika wakuu wamalize kwanza kisha tupewe ruhusa ya kuingia cha ajabu ukurusa wa kwanza watu wameanza kuchakachua hata mtanange wenyewe wanauharibu
 
Hapa hatutishani lakini penye ukweli tunasema tu...
Hawa vimada si kuwa wametokea sayari nyingine...
Ni dada zetu na ndugu zetu...

Nilikuwa na mama yangu mdogo
Aliishi kwetu kwa muda nikiwa mdogo nadhani 1980s
Alikuwa na buzi mume wa mtu milionea (nina hakika account yake ilikuwa na millions tokana na matanuzi yao)

Mama yangu baada ya kushindwa kumrekebisha nakumbuka siku moja alimpa kipigo cha mbwa mwizi na kumtupia mizigo nje...
Uncle wangu akaja kumchukua ilikuwa usiku...

Basi huyo milionea wake akampangishia nyumba Ilala...akampa na gari tena enzi hizo watu wengi walikuwa wanaendesha Pijo yeye alikuwa anasukuma Nissan au Toyota double cabin mpyaaa...imeenda juu hivi...

Ha ha ha...kwani maisha yake yaliendelea hivyo...
Alikuja amia mwanza akaolewa; mwanaume akaja kufa na ngoma; na yeye akafata...

Alizaaa mtoto na yule mzee...mtoto akabaki kuwa omba omba ujombani...watu wachange ndio apate school fees...

Kule kwa baba yake hawakutaka hata kumtia machoni jinsi mama yake alivyomtesa mama yao...

Baba yake alikuja kufa juzi kati; hakuambulia hata shilingi ya urithi...

Nachoshukuru mama yetu aliweka wazi kuwa maisha ya aunt yetu ni ufuska...na tulijua si tabia ya mfano...
Ndio maana kwetu japo tulikuwa wadogo sana hakuna aliyekuwa ana mu admire wala aliyeishia kuwa kimada kama aunt... kashengo
 
Last edited by a moderator:
Iweje Lara 1 ajibu kila comment kama ndiye interviewee...au macho yangu...
Kwa nini asipewe nafasi muhusika ku respond?

kwani kuna ubaya gani? ITS A FREE COUNTRY! Muhusika mikono imevimba toka janaa anajibu tu! ANA MAMBO YAKE MENGINE AFTERALL ITS A CHARITY INERVIEW SIO KWAMBAMNA MLIPA! Lucky you LARA 1 sina kazi namsaidia kujibu.
 
Jamani Shukrani wote mliochangia humu, kila mtu anaishi maisha yake vile anavyotaka yeye. Mimi ni mtu muwazi sipendi napenda kuwa Mimi na sio kuwa mtu mwingine ili niwafurahishe wengine.

Kwawale wanaodai najiproud kabisa wakati najua nakosea, lengo la kuwa muwazi nikuwasaidia wengine wapate mafunzo kutoka kwenye makosa ya wengine, naimani watu wamejifunza kitu na wengine wamejua kitu, hivi vitu vipo vinatendeka na watendaji wapo kila mahali na humu pia wapo wengi tu ila wamevaa ngozi ya kondoo nyuma ya keyboard zao waonekane watakatifu wakati hapana. Kama mlitaka nidanganye nijifanye mtakatifu wakati sipo hivyo mtanisamehe.

Kwa Mara nyingine tena ahsanteni, wale waliotoa ushauri ahsanteni pia na Mungu awabariki na nawatakia weekend njema.
 
Mmmhm...HOT TALK is turning nastier now.....hashtag NASTY TALK..or sorry #NASTY TALK

Nakwambia amekuja mbio na maneno makali sana....
miss neddy mtulize mwambie a Calm down Hot talk ndio zilivyo kunataka ustahamilivu sana kwa anayewekwa kiti moto

maswali provocative na nasty comments ni kitu cha kawaida
 
Last edited by a moderator:
Wabongo sie kitu utulivu hatuwezi kabisa, tungewasubiri wahusika wakuu wamalize kwanza kisha tupewe ruhusa ya kuingia cha ajabu ukurusa wa kwanza watu wameanza kuchakachua hata mtanange wenyewe wanauharibu

we utakuwa ulichelewa sana kuja
 
Mfano huyu sijui Aunt Ezekiel...
Keshaolewa na watu wenye fedha zao na ndoa ikamshinda...
Na sasa yuko kwenye ndoa lakini bado tabia ya ukimada inamuwasha...
Atatangatanga mpaka kaburini...
Sasa hayo ni maisha ya mtu mwenye akili kujisifia nayo...

Soon atakaa chini ajutie maovu yake when it is too late...
 
angelita

CHAMPION! CHAMPION! CHAMPION! CHAMPION!!!!!!!!!!!! There you go girl!!!!!!!!!!!! A GIRL GOTTA STAND HER GROUNDS! SIO KUYUMISHWA NA MAFARISAYO WA HUMU NDANI! Oyoooooooooooooooooooooooooooooo! IT WAS INDEED A HOT TALK! Bora uende maana katiba ya kila interviweee lazima aishie ban ingekuhusu mda si mda!

YOU ARE WHO YOU ARE! AND NO BODY SHOULD MAKE YOU FEEL BAD ABT SHIT! Maisha ndo haya haya ishi utakavyo na uwezavyo WANAO NGOJEA HAPPY ENDING WAACHE WAENDELEE KUINGOJA! Hahaaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom