Kwanza nikupe FACT 1, Hakuna watu kwenye cycle yangu wanatoka na WAUME ZA WATU kama wadada late 30S NA 40s! Tena they call it LOVE! Watu na kazi zao na maisha yao, wengine wake za watu! Hivi 20s n below wengi NJAA tu and all abot the MONEY! Lakini COUGARS WANT IT ALL! Anataka akutoe kabisaaa akae yeye! Hahahaaaaa!
Ni mfumo tu wa maisha! YOU FELL IN LOVE, TAKE SOME VOWS, SO HAPPY TOGETHER! Then you get older, drift appart, unmet expectations, resentments, unfulfilled ambitions etc etc MAMBO YANAKWENDA ISIVOTARAJIWA, SOME OF YOU TRY TO BE HAPPY AGAIN WITH OTHER PEOPLE! Its natural!
Ndo maana mama zetu hawakuwa na biti za tindikali sijui nini, anakuacha tu unengeneke weeee mpaka ujionee mwenyewe ukimbie! Hahahaaaaaaaa! Sema walilea sanaa watoto wa wenzano! BUT AGAIN ITS JUST LIFE MTOTO HANA KOSAAA!