MMU hot talk

MMU hot talk

Nakuelewa ila kusema huo "ukweli" huku una brag na huoneshi remorse sio sawa bwana...sema ukweli na pia sema u are not proud of what u did,hata mdogo wako akipita humu ajifunze....na kuitwa malay.a ni sawa tu,kwenda kubreak nyumba za watu ni kosa,una weaken marriage ya binadam kama wewe...kwanini usijenge vyako if u are really strong as u and lara1 brag to be?

Hahahaaahaahaha..... Jumapili Leo ibada ilikuwa nzuri sana.

Back to the topic umalaya ni umalaya, anayetembea na mume/mke wa mtu au anayetembea na mtu ambaye hajamuoa au kumuoa wote malaya, hata wale ambao wazazi wao hawajaoana ni Malaya na watoto nizao la umalaya. Mtu ambaya natakiwa kumuonesha majuto yangu ni Mungu pekee sio mwanadamu.
 
Kwani mkuu wewe ukishamla demu mzuri aliyekuwa unamfukuzia muda mrefu huwa hujisifii na kujikubali moyoni?
Majuto na masikitiko yetu ni kwa Mungu tu na siyo wanadamu.

Je ni vipi nafasi ya mume?
Mbona mume haonekani km ndiyo tatizo?
Je ni huyu angelita ndo jukumu lake kulinda hiyo familia na watoto au ni jukumu la mume?

Asakuta wote wana makosa,ila kila mmoja ana utashi wake among the two...sasa basi,as per topic here tunamzungumzia huyo dada,yeye kafanya nini kuacha hiyo kitu isitokee?maana in part na yeye ana decision making hapo.....

Na kufanya dhambi halafu unaanza kujisifia haitakiwi...kibaya zaidi wengine tunajisifia publicly
 
Last edited by a moderator:
Unajua maana ya kusema ukweli na kujisifia????? Tatizo la wengi mtu akisema ukweli anajisifia, unajua maana ya hot talk???? Huwezi kusema fulani ni Malaya kisa ana wanawake 2 wewe huyo mmoja umemuoa???? Wote si mnazini???? Next time atajifunza kutumia lugha nzuri sio unatoka tu huko nakumuita mtu Malaya wakati humjui.

Hahaaaaaaa! We hujawazoea TEAM FREE P! THEY BE JUDGING YOU NOW BUT LATER FULL KUPIGA P FREE OF CHARGE! AND THEY BE TELLIN THEMSELVES ITS OKAY WITH GOD SINCE THEY DIDINT CHARGE! HAHAAAAA!
 
Asakuta impact ya kuvamia nyumba ya mtu unaathiri wengi,mke,watoto,and other dependants,ambao hawauhisiki kabisa,unaharibu taasisi...huwezi fananisha na single person uliezinzi nae...effect kwa familia ni more lethal...ndio maana ikawa forbidden...angalia intensity ya effect sio just mere dhambi ni dhambi tu
Hapo nilikuwa naongelea dhambi na Mungu mkuu , usichanganye vitu hapo.......

Ila kama umeshatoka huko kwenye mambo ya Mungu unataka tuhamie kwenye dunia dunia ngoja nirudi huko.
Je huyo mume aliwekewa mtutu wa bunduki?
Je kichwa cha hiyo taasisi ni nani, siyo mume?
Huoni kwamba with or without angelita huoni kama hiyo taasisi ipo ICU kwa kukosa kiongozi?
Blame zilizopaswa kwenda kwa mume msizilete kwa angelita , she is another victim of poor leader of hiyo taasisi.
 
Last edited by a moderator:
Its a FREE COUNYRY SINCE 12th DEC1961. And last time I checked it was not illegal

Angalia sasa,majibu mepesi kwa maswali magumu...wewe una moral authority gani ya kuiita ni hypocritical institution?...
 
reading-newspaper.gif
 
Asakuta wote wana makosa,ila kila mmoja ana utashi wake among the two...sasa basi,as per topic here tunamzungumzia huyo dada,yeye kafanya nini kuacha hiyo kitu isitokee?maana in part na yeye ana decision making hapo.....

Na kufanya dhambi halafu unaanza kujisifia haitakiwi...kibaya zaidi wengine tunajisifia publicly

Nahisi tunaongea lugha tofauti hapa mkuu.
Tukiongelea kidhambi na Mungu tusichanganye na utashi wetu wa kufikiria.
Kama tunakubaliana hapo kwenye dhambi kuhukumu hili itakuwa ni unafiki wetu tu binadamu, think think wewe binafsi madhambi yako na usivyoweza hata kuyakiri nani anaafadhali kati yako na huyu binti.
 
So what gonna you do about it? Unafiki tu! Watu humu mnatoka povu kukemea kwenye jamii kimyaaa! Wengi wenu baba zenu wamezaa nje, waume zenu wamezaa nje, kaka zenu wanazaa nje, wanenu wanazalisha watoto Wa watu bila kinga! AND NOBODY SAYS SHIT ABT IT! Tunaufyataa kimyaaaa! Kukumbatia uovu. Mwenyewe kaka yangu kamzalisha MTU mwanafunzi Wa chuo, bi mkubwa anakonalia asimuoe wala mini. Alee tu mtoto. Uncle zangu, kaka zangu, ndo wale wale wakute wake zao, au mama zetu wanavolaani vimada sasa! Nyooooooo! Vimada Wa ndani ya nyumba kimyaaaa! No body says shit abt anything! Aliteleza tu. NDO MAANA NAWAAMBIA SPARE ME THE SENTIMENTS! MTAWHINE HAPA BT THE SOCIETY IS NOTHING CLOSE TO PERFECTION!

Hahahaaaaaaa...umesahau nawao wamezaliwa njeee hahahaaaaa, muhudumu naomba castle lite nyingine 5 mpeleke na yule kaka pale vodka nyingine, maisha raha sana kwako magumu wengine wanateleza tu.
 
MMU HOT TALK....

Nilikua busy celebrities forum hadi nikasahau mambo ya hot talk
 
Nahisi tunaongea lugha tofauti hapa mkuu.
Tukiongelea kidhambi na Mungu tusichanganye na utashi wetu wa kufikiria.
Kama tunakubaliana hapo kwenye dhambi kuhukumu hili itakuwa ni unafiki wetu tu binadamu, think think wewe binafsi madhambi yako na usivyoweza hata kuyakiri nani anaafadhali kati yako na huyu binti.

Nakuelewa mzazi...issue ni kwamba yeye ana jisifu kwamba ni sahihi.....tukijisifu na dhambi tunajenga usugu kwamba haya madhambi yetu tunayofanya kila siku ni sahihi,neno kutubu litakua msamiati.....im a killer,im not proud of it,im trying to repent na kuacha,mungu nisaidie
 
Hahaaaaaaa! We hujawazoea TEAM FREE P! THEY BE JUDGING YOU NOW BUT LATER FULL KUPIGA P FREE OF CHARGE! AND THEY BE TELLIN THEMSELVES ITS OKAY WITH GOD SINCE THEY DIDINT CHARGE! HAHAAAAA!

Iwe free p,iwe 1000usd p,etc yote ni uzinzi...hatuwezi jisifu kwa chochote hapo...sasa sisi tunajisifu as if tume archive kweli kweli...
 
Hahahaaahaahaha..... Jumapili Leo ibada ilikuwa nzuri sana.

Back to the topic umalaya ni umalaya, anayetembea na mume/mke wa mtu au anayetembea na mtu ambaye hajamuoa au kumuoa wote malaya, hata wale ambao wazazi wao hawajaoana ni Malaya na watoto nizao la umalaya. Mtu ambaya natakiwa kumuonesha majuto yangu ni Mungu pekee sio mwanadamu.

Kwahiyo ni fresh kujisifia dhambi kwa binadam unaeishi nae kila siku na kutubu hypocritically kwa mungu ambae hujawahi muona?...what a classy lady,i like u.
 
Hahahaaaaaaa...umesahau nawao wamezaliwa njeee hahahaaaaa, muhudumu naomba castle lite nyingine 5 mpeleke na yule kaka pale vodka nyingine, maisha raha sana kwako magumu wengine wanateleza tu.

Ndo hapo sasa unapokomalia its a mstake na kusahau YOU ARE A RESULT OF THAT MISTAKE! Ooooooops!

We waache walie walie tu humu, WATU WAKIPENDANA WANAGEANA TU! KWANI KITU GANI? HUMANS ARE ANIMALS AND CAN NEVER BE BOUND BY A PIECE OF PAPER!
 
Karibu bado hujachelewa kabla hujakaa anza kusalimia kwanzia kule mwanzo afu uchukue kiti uangalie mambo yanavyokwenda.

Atoe declaration kabisaa kama DEMOCRAT AU REPUBLICAN. Hatutaki mchangia, huku umo, na kule umo! REPUBLICAN WAKO HOI HUMU NA PRINCIPLE ZAO ZA 1920s
 
Nakuelewa mzazi...issue ni kwamba yeye ana jisifu kwamba ni sahihi.....tukijisifu na dhambi tunajenga usugu kwamba haya madhambi yetu tunayofanya kila siku ni sahihi,neno kutubu litakua msamiati.....im a killer,im not proud of it,im trying to repent na kuacha,mungu nisaidie

Hahahaahahaaaaaa..... Unahakika gani hao wanaotenda dhambi mbele za watu hawatubu?????
Wewe ndio dizaini ya wale watu wakifanya kitu basi wote wajue, unamuonyesha mwanadamu majuto ilikumfurahisha badala umuoneshe Mungu wako?????
 
Back
Top Bottom