MMU hot talk

MMU hot talk

Hahahahahahaaaa.... Namuomba Mungu aniepushie mbali( watenda dhambi pia huomba Mungu na huwasikia)

Mdogo wangu angelita...tunaishi kwa neema ya Mungu tu. Hatupaswi kujivuna kwamba Mungu anatusikia pamoja na uovu wetu. Ofcourse mi sijaona kwenye biblia sehemu iliyoandikwa kwamba Mungu anasikia maombi ya wenye dhambi ila nimeona Mungu akiwaponya wenye dhambi pale wanapopondeka na kujutia uovu wao. Ukisoma Isaya 1:1-30Neno linasema waziwazi kuhusu maombi ya wenye dhambi. ......nakushauri ukasome. Mstari ule wa 15 anasema 'Nanyi mkunjuapo mikono yenu,nitaficha macho yangu nisiwaone;naam,mwombapo maombi mengi,sitasikia mikono yenu imejaa damu. Jiosheni,jitakaseni,ondoeni uovu wa matendo yenu usiwe mbele za macho yangu;acheni kutenda mabaya;jifunzeni kutenda mema...............'
Kwa kuongezea kasome na warumi 6
Moreover....u don't need to feel inferior kwa hilo ukajiona we ndo mtenda dhambi saana..... Mungu anakutazama kama anavyomtazama mtu yeyote anayetenda dhambi yoyote iwe ni uwongo,wizi,kiburi, uzinzi(rwgardless unazini na nani). Neema ya Mungu ituvutayo kwake ili tupate kutubu ipo sawa tu kwa wote. Ila sasa wewe unaweza kuwa pagumu kama huyo mama ataamua kumlilia Mungu kwaajili ya hayo mahusiano yenu...hasa kama huyo mama ni mtu wa haki. Trust me Mungu haoni hasara kuadhibu na kuangamiza maelfu kwaajili ya mwenye haki mmoja anayedhulumiwa. (kama wewe ni msomaji wa biblia hutabisha kuhusu hili) maana kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana kama akiomba kwa bidii.
Nilikuwa nakukumbusha tu mpendwa kama kuna mahali nimekukwaza nisamehe bure.....mimi ni binadamu tu ambaye pia nimepungukiwa utukufu wa Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Khantwe
Hahaha..my dear umeongea kwa hisia kali. Such is the world. There's nothing you can do to change this. Sitaki kuwa jaji coz hata mie nina midhambi imejaa fuso lakini angie's confession do not show any kind of regretts, rather pride..! Such is life.
 
Last edited by a moderator:
Khantwe

umenena vyema. this made me think of this qstn.
what if ulikua na mtu ukamwamini sana... but ukajagundua ana commitment na mwingine.. kimsing alikudanganya ol along... hyo dhambi ni ya nani? ! na machoz utayolia kweli yatamfata?
 
Last edited by a moderator:
Bado upo nae?
Umejifunza nini?

niliachana nae... it got to a point nikaona he is falling for me nikajiweka ktk position ya mkewe I felt so bad.. had to let him go. I repented for that.

lesson.. I believe hata ning3kua nae isingenipa aman mwisho wa siku mm ndy ningekuwa loooser... na kutembea na mme wa mtu siyo ishu kwa kweli..kidin na kijamii pia.
 
Hahaha..my dear umeongea kwa hisia kali. Such is the world. There's nothing you can do to change this. Sitaki kuwa jaji coz hata mie nina midhambi imejaa fuso lakini angie's confession do not show any kind of regretts, rather pride..! Such is life.

Hahahaa yah kila mtu ana style ya maisha aliyoichagua na Mungu anatunyeshea mvua wote. Kwa kweli anastahilo cheo hicho.
 
kugombania mpenz or kumng'ang'ania huwa inakuwaje na watu wanawezaje?
scenario: ulikuwa na jamaa... akikuaminisha ww ndy galfrend ake..ukaja jua ana mwanamke kazalsha..ukaamua kum'dump, akaomba msamaha coz alikudanganya ol along. aftr some time anakutafta na pia anasstza bado anakuhitaj tht it Was a mistake yy kuzaa....
girls, wud yu go back or ull keep a distance? rem.yu stll have interests on him
 
umenena vyema. this made me think of this qstn.
what if ulikua na mtu ukamwamini sana... but ukajagundua ana commitment na mwingine.. kimsing alikudanganya ol along... hyo dhambi ni ya nani? ! na machoz utayolia kweli yatamfata?

Kama hukujua sidhani kama pana kosa hapo my dia. Na machozi yako yanaweza yakamfuata au yasimfuate..... Mungu ndie mtoaji wa vyote na inategemea katika hiyo ishu wewe una haki kiasi gani.
 
Actually ni kutafuta Mtu ambaye mnaendana, kila mmoja amekubaliana na mapungufu ya mwenzake na kuyakubali hakuna mkamilifu chini ya jua chamuhimu ni kuyatambua ya mwenzio na kujiuliza kama utaendana nayo.

ewaaaaaa nimependa vile unajibu maswali haya
 
niliachana nae... it got to a point nikaona he is falling for me nikajiweka ktk position ya mkewe I felt so bad.. had to let him go. I repented for that.

lesson.. I believe hata ning3kua nae isingenipa aman mwisho wa siku mm ndy ningekuwa loooser... na kutembea na mme wa mtu siyo ishu kwa kweli..kidin na kijamii pia.
Wise decision my friend. Na mara nyingi sisi vidume ndo waongo. Kuwaaminisha wadada kuwa tupo singo ili watupende. Baada ya hapo tunawaumiza coz tayari wanatupenda na kutuacha wanashindwa.
Mwisho wa siku wote tuna dhambi. Tukijutia na kuanza upya maisha yanakuwa rahisi na tunapata amani moyoni.
 
miss neddy

swali kuntu hili namimi ngoja nilijibu looo.
Binafsi as binti napenda kujitunza tena saana tu ila hekaheka za mtaani shurti zipate watu na watu ndio sisi..... ktk jamii/ maisha yalokuzunguka unaweza kuishi utakavyo kulingana na identity ulonayo hapa haimaanishi nipitwe na vya utamu hata kama mlokole.

kujichanganya na watu ruksa sijui kama ndio kula ujana au la!
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaaa nimejiandaa vya kutosha.

Mwanaume mkweli muwazi, asiyenificha anayefunguka kuhusu maisha yake.
Asiwe mbana pochi hahahaaaa

hahahaaaa hapa wabana pochi lazima wakutupie mawe
 
swali kuntu hili namimi ngoja nilijibu looo....
Binafsi as binti napenda kujitunza tena saana tu ila hekaheka za mtaani shurti zipate watu na watu ndio sisi..... ktk jamii/ maisha yalokuzunguka unaweza kuishi utakavyo kulingana na identity ulonayo hapa haimaanishi nipitwe na vya utamu hata kama mlokole......

kujichanganya na watu ruksa sijui kama ndio kula ujana au la!

Subiri nawe hot tok yako lol
 
Mimi huwa sidai ndoa wala sina kimuhe muhe cha kuolewa karibuni, mahusiano yangu naenjoy sana sababu hayana deni wala expectations tunafocus kwenye kuenjoy wakati tuliopo sio possibility za huko mbele, hiyo imenifanya niwe na appreciate mambo mazuri nayotendewa badala ya kukaa na kuhesabu vitu ambavyo sijatendewa you should try it sometimes too.

oyoooo kuna mahusiano ambayo hayana deni hata mimi nimeshuhuia hili ..... sio mtu anakuganda kumbe it was a pass out.... hahahahaaaa hakuna mahusiano mazuri kama kuwa na mume wa mtu aiseeee na mipaka ikiwepo hakuna cha kugandana kivile unakuwa huru kufanya yako mengine..
 
1. Sijaweka rejesita ya wanaume niliotembea nao
2. We drifted apart such is life
3. am too young
4. Kuchapiwa ni siri ya ndani

hahahaaaa hilo jibu la 4 umejibu kisiasa loo sikutegemea kabisa funguka vizur bana
 
Back
Top Bottom