Hahahaaaaaaaaaaa! HIO DHAMIRA YAKO TU INADAI HAKI LAKINI KIUHALISIA HAKUNA KITU KAMA HICHO!
Psheeeew! Anga mbaya ndo zipi? WAKE ZA MAWAZIRI, MAWAZII WENYEWE WA KIKE WANAMEGEMWA NA WANATULIA TULIII, KATIBA NDO ISHARUHU UTAFANYAJE SASA? Sana sana wake za watu wengi WANAFUMBA MACHO TU MASKINI YA MUNGU NA KUJISAHAULISHA UKWELI, AU WANAJIZOEZA KUCHUKULI POA! Wake business magnets wenyewe wanamegewa! Wapi mama 2 miss mstaafu! THERE IS NOTHING, ABSOLUTELY NOTHING THAT CAN BE DONE!
Haahaaaaaaaaa! Mwenyewe sio mwepesi hata kidogo! Ukinimwagia tindikali ubebe vifaranga vyakomuhame nchi lasivo ujue VITA HAITOSIHA, na mie nakutumia miteja tu, afu nachukua na video kabisaa mke wa mtu kafumaniwa! Hhahaaaa! Mjini hapa! KUSAMEHE KUNA FAIDA KULIKO VITA AFTER ALL THERE IS ENOUGH FOR EVERYBODY!:A S wink:
Ubaya hauna mwisho ndugu yangu, NA SIKUOMBEI MABAYA ILA WAKE ZA WATU KIBAOOOOOOO KUFUNGASHIWA VIRAGO PAMOJA NA KUPIGA MAGOTI KUMEWAHUSU, WENGINE WANAKESHA KANISANI MUDA HUU KUOMBA WAUME WAKUMBUKE GETI LA HOME MAANA IT HAS BEEN 10 YRS, YUKO MJINI NA HATAKI KUKUONA UMEBAKISHA PICHA ZA HARUSI TU SEBULENI! Hahahaaaaa! (Its not a laughing matter) Acha wale wa kuzaa nje, mama zao unawajua na jeuri ya kuwarushia kijiko tu acha kopo la tindikali hunaa, na wanakuja ndani kwako, wanakaa kwenye kochi lako, UNAMKARIBISHA JUICE YAKO, kumngoja mume wako awape hela ya matumizi ya mtoto! Hahahaaaaaaa! it s not a laughing matter again! uTAFANYAJE NDO YASHAKUKUTA TENAAAA! NDO MAISHA TULIYOKULIA WENGI WETU MTAANI, NA MAMA ZETU WALIUFYATA KIMYAAAAA! Hizi story zenu za tindi kali ni just your WILDEST DREAMS!