Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Mwehe yani ndio nmepitwa na mtanange iviivi kwelii
Mie mwenyewe nilidhani iliisha jana ile ile kumbe bado mambo yanaendelea
Mwehe yani ndio nmepitwa na mtanange iviivi kwelii
Its really hot in here...
Yeah, siku moja lakini
Relax na sema unakunywa nini ili utulize mwili kidogo??
If sentimentality didn't suit me! Why i we argue?
Lara1 bahati mbaya tunamitizo isiyoweza kushabihiana, weka kichwani taadhari, onyo, karipio sio hukumu. Vyote vina lead kwenye kufunza, ikiwa unaemfunza anakwambia huna haki ya kumfunza unamfanyaje?
Unachosema ni sahihi as far as definition yako ya ku win maisha inaishia kwenye BMW na Vogue...
10yrs still kickin..hahah..get yourself a ''medal of honor'' ..ooops...''a medal of shame'' to commemorate that.....pop some champagne IF NOT MRGARITA..be euphoric...do some twerk and furthermore ,induct yourself to the ''H.S HALL OF FAME''
Hata kama jamii inasahau...
Unaweza vaa shela lakini nyumba ulizoharibu zikakuwinda maishani mwako mwote...
Ukashindwa ku enjoy maisha ya ndoa yako..
What goes around comes back ten times harder!
unofficial translation''miaka 10 bado unafanya..hahah..jitunuku ''medali ya heshima''..ooops(kuonesha kuteleza/kukosea.)..''medali ya aibu''...kunywa shampeini kupitiliza kama si margarita(aina ya cocktail)..furahia..cheza kwa kujiachia(hasa kimahaba)..na zaidi jiweke kwenye kumbukumbu ya wezi bora wa..........malizia..
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.Waebrania 13:4
Spare your self the drama! Unafiki Wa humu hujauzoea? SOME PEOPLE HAVE A REPUTATION!
Habari yako nyumba kubwa...Kwa umalaya huu tena mtu yuko proud kazi ipo tena si kidogo....
SHAME!
Shame is OVER RATED!
Khantwe karibu sana hii MMU Hot Talk if not HARD TALK....:embarrassed:Hahahaaaa seriously?? Imekuuma Tyta kunitafsiria? Yan ni kweli kabisa sentensi tatu za mwanzo nlielewa ila huku mwisho sikuokota kitu ila nimekuja kugundua maneno ambayo sikuyaelewa ni vinywaji na hiyo cocktail.....
Hahahaaaa seriously?? Imekuuma Tyta kunitafsiria? Yan ni kweli kabisa sentensi tatu za mwanzo nlielewa ila huku mwisho sikuokota kitu ila nimekuja kugundua maneno ambayo sikuyaelewa ni vinywaji na hiyo cocktail.....
hebu mie....!!!&