lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
Yah na mimi ndo nimemuuliza kwamba hizo reasons zina uzito kiasi gani kiasi cha kudhulumu haki ya mtu? Kila binadamu aliyekamilika ana ambitions na matamanio yake lakini kuna matamanio mengine tunalazimika kuya-postpone for the sake of others' happiness,peace,comfort and security. Kuna mambo mengine tunapenda kujustify tu kwa sababu ya roho zetu ngumu ila tunaweza tukayaacha,tukatafuta mbadala wake na tusipungukiwe chochote...... Tuishi tupendavyo maana kila mtu ana uhuru wa kufanya apendavyo but do not hurt orthers.
Psheeeeeeeeeew! Too SENTIMENTAL! Everybody for themselves God for us all! Others comfort, happiness, security COME ON! HOW ABOUT HER HAPPINESS, COMFORT ET AL? she should give that up for the wife? Who is the wife again in her life? NOBODY! And who says she has to be unhappy so other people can be happy? Bullshit! ITS THE WIFE FATE TO LOSE SHE SHOULD BEAR HER FATE! Kila MTU a capitalise kwenye luck, heavens, her gods then who the gods seek to destroy first will eventually lose to circumstances. And its logic if she spends the rest of her life blaming the gods and her bitter fate. Cc Tyta
Last edited by a moderator: