MMU hot talk

MMU hot talk

Qn 12. Humu JF who do you have the
hotties for? A name please! Why?
Hypothetically speaking who will you
have a one night stand with, tuachane
na mjadala wa character yake, just the
nasties! Walau Top 3

Zamani nilikuwa namuhusudu watu8 (nilishamuona live msiniulize wapi) badaye dushe lake likawa over rated kila mtu humu ndani watu8 appetite ikaisha.

Sasa hivi kuna kitu kinaitwa grafani11 naona lara 1 anamshobokea nimeshituka kuna ulaji hapa na mimi nabanana hapo hapo, kwanza yuko na Matola wote awashike yeye nani????
grafani11 wakati na siku yeyote just holla......!
 
Last edited by a moderator:
hahahhah lol so competition ilivyoongezeka nawe ukabadili uelekeo huyo grafani11 ana nini cha ziada acha iwe my homework Qn 13. We uko Team Gani humu?
Hahaaaa! Kidding! Unaamini
mahusiano ya JF? Nini mtazamo
 
Last edited by a moderator:
hahahhah lol so competition ilivyoongezeka nawe ukabadili uelekeo huyo grafani11 ana nini cha ziada acha iwe my homework Qn 13. We uko Team Gani humu?
Hahaaaa! Kidding! Unaamini
mahusiano ya JF? Nini mtazamo

Siko team yeyote ila team free p wapite mbali hahahahahaa msinimwagie povu tu.

Nayaamini, mahusiano ni mahusiano tu haijalishi mumekutana wapi sababu waliomo humu ndio hao hao waliopo mtaani.
 
Last edited by a moderator:
Sio nimewahi ninatoka nae hata sasa na nafurahia kuwa nae, hanigandi, ananithamini napata vyote nitakavyo, ananipenda na anapenda kuwa na mimi yaani tunapendana bahati mbaya ameshaoa.
Naregret kwanini hakuniona Mimi kabla ili tuenjoy life kwa Uhuru life can be unfair wakati mwingine.

(Anayejiona mtakatifu ndo anirushie jiwe, usinihukumu kwasababu tu tunatenda dhambi kitofauti, dhambi ni dhambi tu)

......mmmh!!. Ndo maana naipenda JF, hapa tunaona herufi tu kesho naweza kukuta kumbe ni mchepuko wangu, ebu niwe mpole nisome maandishi.
 
Zamani nilikuwa namuhusudu watu8 (nilishamuona live msiniulize wapi) badaye dushe lake likawa over rated kila mtu humu ndani watu8 appetite ikaisha.

Sasa hivi kuna kitu kinaitwa grafani11 naona lara 1 anamshobokea nimeshituka kuna ulaji hapa na mimi nabanana hapo hapo, kwanza yuko na Matola wote awashike yeye nani????
grafani11 wakati na siku yeyote just holla......!

:spit::spit::spit::A S-eek::A S-eek::A S-eek:Koh! kooooh! koooooh! koooooh! kooooh! UMENIFANYA NIPALIWE KIROBA CHA KVANT UJUE!!!!!!!!!!!! Naona kuanza kunyoa tu unataka ucheze ligi moja na mama zako! We mwana weeeeee!!!!!!!? Kaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Chinekeeeeeeeeeeeee! Heeeeeey!

I thought you are still a baby snake kumbe you have already turned to a POISONOUS VIPER and you dare bite your elders???? Una bight ME! ME! Heeeeeeeey! What is is this naaah!

Usinigombanishe na Matola, wewe kama unamuona grafani11 mali sanaa, we mmanulie tu! Mwanaume yule hawezi kukataaaa! Hahahahaaaaa! Au sababu anakaa Mbezi (Ulikuwa hujui? Ndo umejua sasa! Hahahaaaa! If you think i will seat back and watch you trasspass my territory THINK AGAIN)
 
Last edited by a moderator:
Qn 14. Nini siri yako kubwa ya
mafaniko katika relationship zako?
Unawashauri nini wadada wa humu
labda.
 
Qn 12. Humu JF who do you have the
hotties for? A name please! Why?
Hypothetically speaking who will you
have a one night stand with, tuachane
na mjadala wa character yake, just the
nasties! Walau Top 3


mkuu lugha hii
 
Mbona maswali yanzidi kuwa marahisi...aulizwe kama anatumia 0713 basi
 
Qn 14. Nini siri yako kubwa ya
mafaniko katika relationship zako?
Unawashauri nini wadada wa humu
labda.

Mimi huwa sidai ndoa wala sina kimuhe muhe cha kuolewa karibuni, mahusiano yangu naenjoy sana sababu hayana deni wala expectations tunafocus kwenye kuenjoy wakati tuliopo sio possibility za huko mbele, hiyo imenifanya niwe na appreciate mambo mazuri nayotendewa badala ya kukaa na kuhesabu vitu ambavyo sijatendewa you should try it sometimes too.
 
hahaha kwangu ku try ngumu lazima lazima nijue kama future ipo hahaha
Qn 15. Je kuna ndoa zinakuinspire
labda na kukutamanisha uolewe
maybe? Anyting unataka kusema
kuhus ndoa maybe? Otherwise
nashukur sanaa kwa kushiriki.
 
Back
Top Bottom