ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,364
- 118,743
oyoooo kuna mahusiano ambayo hayana deni hata mimi nimeshuhuia hili ..... sio mtu anakuganda kumbe it was a pass out.... hahahahaaaa hakuna mahusiano mazuri kama kuwa na mume wa mtu aiseeee na mipaka ikiwepo hakuna cha kugandana kivile unakuwa huru kufanya yako mengine..
Naona hii ndio fasheni siku hizi. You even applaud it...shame!