Mmezidi sasa kuwaonea wachagga jamani...!!!

Mmezidi sasa kuwaonea wachagga jamani...!!!

Kuna sabubu, na sababu hiyo ni wivu tu. Ingieni vijiji vya Kilimanjaro muone kama hawaishi vizuri kuliko hata huko Dar kwenu kwenye kila aina ya kadhia. Moshi wanongoza Tanzania kwa kila kitu, kama hutaki waulize wenye mabenki watakuambia tu, Wachagga wanaongoza kwa kutumia huduma za benki Tanzania, vijijini, milami kibao, maji , umeme, nyumba safi,hospitali, mishule etc etc halafu wanaongoza kwa upinzani dhdi ya Magamba na mafisadi wake. Chezea these people wewe?
 
Hebu google wapare na wangoni uone kasheshe. Hawa jamaa balaaaa kwa sketi.
 
it is not proud to be a chagga but is all over.
nadhani kabila zingekuwa kama dini kuna kabila hapa tz zingekuwa zimefutika na nyingine kuwa na waumini milioni 45.
 
Nasikia hili kabila asili yake ni Nigeria,,,,jamani nimesikia tu
 
wachagga siyo wezi, huu ni uonevu mkubwa, mbula ! kwani mabilioni yanayosemekana kufichwa nchini USWISI ni ya Wachagga?.
 
Numeshawahi kufuatilia haya mambo yana ukweli fulani! Tatizo kuna watu kila mtu anaetoka kaszkazini wanadhani ni mchaga hapo ndo tatizo linapoongezeka! Wachaga sio wezi ila kamkonomkono wanacho!
 
white-people-stole-my-car.jpg
 
Back
Top Bottom