ndetichia
Platinum Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,589
umenikumbusha hii kitu bana ndio yale yale..
Mboni safooo Clemeee!!!
Ndo nini...wewe wa huko nini, nianze kukuogopa sasa hivi?
Wapi Mkuu rombo, njoo uone mambo huku babaangu!!
MIMI NAONA KAMA WANA ISSUE ZA KISHAMBA TU. ETI WAO WANAJUA HELA KULIKO WATU WENGINE. BASI BAKHRESA, MUNIFU nao wangekua wachaga.
akili zako ni sawa na nickname yako, kyasaka kweli wewe!
Kumbe mnapenda misifa ya kijinga.