valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,855
- 895
Haaaaahaaaahaaaaa mbavu zangu mie,sa sijui hapo google wana maana gani kuwaelekea wachagga?
Haaaaahaaaahaaaaa mbavu zangu mie,sa sijui hapo google wana maana gani kuwaelekea wachagga?
Kila kabira linasifa zake
sifa ya wachagga ni ujasiriamali na kujeuza changamoto(challenges) kuw fursa(opportunities) na wala sio wezi kama mnavotusingizia
Poleeeee.huu ni uyanyasaji wa kikabila huu. Hata googlo wana onea wachagga.
Kira kabira rinasifa zake
Aika mae!Ukikaa kiduanzi lazima ulizwe.......mjini unatakiwa uchangamke.......
Ngoja hangover iwaishe, mtajuuta! Mie simo, wasije wakaniibia na simu yangu blackberry yenye line 6!