Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Maximum speed ya mabasi si 120km/h? Huo mwendo wa kasi ajabu ukoje?mabasi haya yana mwendo kasi ajabu,
Maximum speed ya mabasi si 120km/h? Huo mwendo wa kasi ajabu ukoje?mabasi haya yana mwendo kasi ajabu,
halafu huyu Sumry ni Mbunge katika moja ya majimbo ya mkoani Rukwa
Nilikuwa nafahamu tu kuwa mmiliki wake ni mtu wa Rukwa. Kumbe ni mbunge?
ni kweli kuna ajali lakini kuna siri kubwa sana kuhusu ajali zinazofanywa na haya mabasi. nasikia mwenye nayo ameanza tabia za kuhonga ili ajali zifichwe. last month nilisafiri na gari la sumry from mbeya kwenda dar, mabasi haya yana mwendo kasi ajabu, halafu hakuna ustarabu barabarani
sidhani kama atafanywa lolote kwa kuwa akina kova walikuwa wanaponea kwake pale mbya
Nilikuwa nafahamu tu kuwa mmiliki wake ni mtu wa Rukwa. Kumbe ni mbunge?
ni kweli kuna ajali lakini kuna siri kubwa sana kuhusu ajali zinazofanywa na haya mabasi. nasikia mwenye nayo ameanza tabia za kuhonga ili ajali zifichwe. last month nilisafiri na gari la sumry from mbeya kwenda dar, mabasi haya yana mwendo kasi ajabu, halafu hakuna ustarabu barabarani
sidhani kama atafanywa lolote kwa kuwa akina kova walikuwa wanaponea kwake pale mbya
halafu huyu sumry ni mbunge katika moja ya majimbo ya mkoani rukwa
Ajali inayozungumziwa ni ya pili kwa wiki hii
ya kwanza ilitokea mafinga juzi , na jana ni hii ya makambako
waandishi wa habari naona bado wnampamba mmiliki kuwa eti mpanda baiskeli ndo alisababisha ajali. Wanaofahamu mafinga, kinyananmbo ni eneo la miji wa mafinga, speed limit pale ni 30km/hr, na makambako pia ni mjini
nategemea kuanzisha thread hapa kujadili ajali za barabarani na vyanzo vyake, na kuwataja wamiliki wa mabasi wanaoshirikiana na waandishi wa habari kuficha ajali hizi
hapana, yule mbunge wa chadema mpanda kati mh.arf sumnry? Siyo mmiliki wa haya mabasi
mmiliki wa haya mabasi ni mkereketwa wa ccm wa muda mrefu, ni mwekezaji wa miradi mbalimbali mkoani rukwa, na ana asili ya asia kama kawaida
madereva wake ni jeuri kupita kiasi, wakiendesha spidi wakionywa hawasikii kwa ajili ya kiburi cha hawa mmilikaji wake ambaye amewakeka polisi mfukon i
Maximum speed ya mabasi si 120km/h? Huo mwendo wa kasi ajabu ukoje?
Maximum speed ya mabasi si 120km/h? Huo mwendo wa kasi ajabu ukoje?
.... ebu tujiulize kwa nini mabasi haya hayana rekodi za ajali
1 fresh ya shamba, tabgu kuanzishwa mpaka ilivyofilisika?
2 scandinavia(ukiacha ajali chache zilizosababishwa na matairi mabovu, wakafanya utafiti na bridgestone wakawajibishwa
3 hekima bus
4 dar express, ilikuwa na ajali mwanzoni, mrema akiwa waziri akawakomolea, wakapeleka madereva shule na kufukuza wavuta bangi sasa ajali kwao ni historia
hawa ndo vinara wa ajali
1. ngorika bus kule moshi, tunaambiwakiburi anakipata kwa rushwa
2.buffalo linamilikiwa na akina mahita
3.sumry-mfadhili mkuu wa ccm
4.shabiby -mfadhili mkuu wa ccm
5.champion-kama hapo juu
list ni ndefu