Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Kali sana kwa first lady wetu! Muhimu aelewe kuwa habari ni nguvu. Kujua barabara ya Mwanza au Shelui siyo issue ya mtoa habari.
 
mhhhh umemtolea uvivu First lady wetu leo....

Kama suala ni kuleta habari bila accuracy basi tuendelee; contrary mnamuonea bure FL, yeye alitaka clarification. ndio maana wa TZ mnaingia kwenye mikataba ya hovyo kwa kuto read between the line kwa kutaja MTO na Korongo la KM 50 vinatosha kabisa kwa MTU MAKINI kuwa na wasiwasi wa habari yenyewe BRAVO FL
 
Hivi mbona hili basi la Zuberi linaua sana kulikoni???

Hivi yale mambo ya LUKU za magari yaliishia wapi? Samahani kwa kuuliza hili, nafahamu ajali hii haihusiani na speed ya gari, ila wengine huwa tunawasisi kwa vile ndugu zetu wengi wanatumia hiyo njia, hivyo ajali ikitokea inabidi tupige simu kuulizia.

Mungu awalaze mahali Pema Peponi.

Poleni pia kwa wafiwa.
 
Kama suala ni kuleta habari bila accuracy basi tuendelee; contrary mnamuonea bure FL, yeye alitaka clarification. ndio maana wa TZ mnaingia kwenye mikataba ya hovyo kwa kuto read between the line kwa kutaja MTO na Korongo la KM 50 vinatosha kabisa kwa MTU MAKINI kuwa na wasiwasi wa habari yenyewe BRAVO FL

Umesikika Mr Perfectionist ! Kandambilimbili
 
Hivi wewe mleta habari unaijua barabara ya kwenda MWANZA?sasa hapo shelui kuna mto gani?

FL, Msamehe bure ladba ajali imemchanganya, basi limepinduka na kudumbukia korongoni mlima Sekenke.

Mungu awarehemu marehemu wote na awepe nafuu ya haraka majeruhi wote.
 
Kama suala ni kuleta habari bila accuracy basi tuendelee; contrary mnamuonea bure FL, yeye alitaka clarification. ndio maana wa TZ mnaingia kwenye mikataba ya hovyo kwa kuto read between the line kwa kutaja MTO na Korongo la KM 50 vinatosha kabisa kwa MTU MAKINI kuwa na wasiwasi wa habari yenyewe BRAVO FL

Kwanza toa pole basi,

Maana si utamaduni wetu watanzania, sidhani kama kuna mtu anaweza kuja hapa na taarifa kama hii isiwe na ukweli. Unachopaswa kujua ni kuwa FL yeye alitaka kuanzisha league wakati central theme hapa ni basi kupata ajali na kuua na kujeruhi watu. Sasa limeuaje na ajili imetokeaje hayo ni masuala ya kiusalama wa barabarani.

Kumbuka hii ni "breaking news", kuna watu wamepoteza maisha na si ajabu wengine wamepoteza viungo vyao, sasa wewe unapotaka kuleta utani kwenye mambo kama haya tunakuona kama unavuka mstari au something is wrong
 
Kwanza toa pole basi,

Maana si utamaduni wetu watanzania, sidhani kama kuna mtu anaweza kuja hapa na taarifa kama hii isiwe na ukweli. Unachopaswa kujua ni kuwa FL yeye alitaka kuanzisha league wakati central theme hapa ni basi kupata ajali na kuua na kujeruhi watu. Sasa limeuaje na ajili imetokeaje hayo ni masuala ya kiusalama wa barabarani.

Kumbuka hii ni "breaking news", kuna watu wamepoteza maisha na si ajabu wengine wamepoteza viungo vyao, sasa wewe unapotaka kuleta utani kwenye mambo kama haya tunakuona kama unavuka mstari au something is wrong
Samahani sana ni ligue ipi nimetaka kuianzisha?kwanza nilifikiri ni jokes maana kuambiwa basi limetumbukia mtoni ilhali hakuna mto ni utata tayari!Tatizo umezoea kumeza tu!jaribu kudigest!
 
[/COLOR]

Hata kama hajui si amekuletea habari na umejua nini kinaendelea?? Na hao wanaojua si wameshakuelekeza zaidi au unataka kuleta malumbano yasiyo na misngi?? Kani ungekaa kimya ni nani angekucheka au ungekatika sikio?? Grow up na ujenge tabia ya kushukuru pale unapoletewa habari.

HATA ukilishwa kasa FL wewe sukuru tu.
Tena sio mtoni ni BAHARINI kwenye korongo la KM 500 ASL
 
Pole kwa wote waliopata ajali, ndugu na watanzania wote. Mmoja wetu ameulizia luku (gavana) hapa TZ kila kitu ni mradi wa mtu, hii ilikuwa ya mzee Siguyamise, ameondoka gavana zimeondoka, wapo wengi walioanzisha na kuondoka na miradi yao.

Kuhusu usahihi wa habari na maneno, haya ni matokeo ya elimu ya kizazi kipya. Mie nilimejali na wewe hakikisha hili, chukua mwanafunzi yeyote wa sasa muulize tofauti ya mm, cm, m, km kwa matendo.

Maajabu ni pale atakapojaribu kukuonyesha km kwa kunyosha mikono kama vile km ni meta!!!!!

hata kama ni kuteleza hapana KUBWA kwa hili. Tuombee taifa letu.
RIP TZ.
 
Ee Mungu wetu, mapenzi yako yatimizwe.

Mungu awajalie majeruhi kupona haraka.

Poleni wafiwa wote ambao mmepoteza ndugu, jamaa au marafiki katika hii ajali.
Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana libarikiwe. Amen
 
Kuna mtu ana picha za hiyo barabara ya Sekenke? Nimepita kwenye mtandao nimeambulia forum yenye jina hilo.

Hilo bonde lenye kilometa 50 limenishtua.


attachment.php


2934d1227542144-ajali-zuberi-trans-laua-30-senkenke-boliviadeathrd_narrowweb__300x463-0.jpg



Ukisafiri kupita njia hii lazima uchafue chupi.




.
 

Attachments

  • d_bolivia.jpg
    d_bolivia.jpg
    18.3 KB · Views: 95
  • BoliviaDeathRd_narrowweb__300x463,0.jpg
    BoliviaDeathRd_narrowweb__300x463,0.jpg
    19.2 KB · Views: 70
Korongo lapata Mita 200 according to BBC.
 
Pole wa waliofiwa Mungu awaweke mahali pema

kubwa hapa ni uamuzi wa dereva kuendelea na safari ili hali akijua breki ni mbovu...kama ina ukweli hii na kama kweli aliwaambia askari.....then tuna tatizo kubwa kuliko tunavodhani
 
Samahani sana ni ligue ipi nimetaka kuianzisha?kwanza nilifikiri ni jokes maana kuambiwa basi limetumbukia mtoni ilhali hakuna mto ni utata tayari!Tatizo umezoea kumeza tu!jaribu kudigest!

Mama wa kwanza hapa hakuna jokes issue ya ajali ambayo imepoteza roho za watu si ya kufanyia jokes, watu wana huzuni na hizi roho zilizokatishwa uhai.... Zingatia hilo

THEN

Kama unapata BBC Swahili basi sikiliza hapo kuna mahojiano yanaendelea kati ya kamanda wa pilisi mkoa wa Singida bibi Selina Kaluba na Abdalah Majura utapata usahihi wa hayo unayoyataka maana hata huyo kamanda wa polisi anasema limetumbukia kwenye makorongo na kulikuwa na maji na gari wakati linatumbikia lilikuwa linaparamia miti na kazi ya kuwaokoa majeruhi ilikuwa ngumu sana kiasi kwamba ilibidi watumie gesi kukata sehemu kazaa za basi hilo ili kuwafikia majeruhi, na waliokufa ni 15, na majeruhi wamekimbizwa hospitali ya wilaya ya KIOMBOI kulee kwa 'wanyiramba'.
 


Kama unapata BBC Swahili basi sikiliza hapo kuna mahojiano yanaendelea kati ya kamanda wa pilisi mkoa wa Singida bibi Selina Kaluba na Abdalah Majura utapata usahihi wa hayo unayoyataka maana hata huyo kamanda wa polisi anasema limetumbukia kwenye makorongo na kulikuwa na maji na gari wakati linatumbikia lilikuwa linaparamia miti na kazi ya kuwaokoa majeruhi ilikuwa ngumu sana kiasi kwamba ilibidi watumie gesi kukata sehemu kazaa za basi hilo ili kuwafikia majeruhi, na waliokufa ni 15, na majeruhi wamekimbizwa hospitali ya wilaya ya KIOMBOI kulee kwa 'wanyiramba'.


Mungu awalaze mahali pema peponi marehemu!Na awape uponyaji majeruhi
 
Hii ndiyo league uliyotaka kuanzisha (Bonde ni mto ama la?).
hatuwezi kuelewana!Rudi kwenye post ya mleta habari!



Kwani habari ilikuwa kwenye thread ya jokes?,
habari ikishakuwa na utata lazima kuwe na maswali ya kujiuliza


huwezi kudigest kabla ya kumeza kwanza
Yaani hapa nilimaanisha mtu unameza tu!yani hakuna digestion itakayofanyika !
Huu ni usemi tu!nadhani umeelewa nilimaanisha nini!
 
Back
Top Bottom