WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Wakuu wa JF:
Taarifa za uhakika nilizozipata usiku huu zinasemea Mkuu wa Mkoa wa Geita Said Magalula Said amepata ajali katika eneo la Kijiji cha Buhalahala nje kidogo ya mji wa Geita baada ya gari lake kuwaparamia Ng'ombe aliokua akivuka Barabara kutoka malishoni.
Hata hivyo hakuna mtu aliyepoteza maisha kwenye ajali hiyo wala kujeruhiwa vibaya isipokuwa majeraha na maumivu ya kawaida tu,lakini gari lake limeharibika vibaya sana na sehemu ya mbele ya Gari,alikuwa akitokea jijini mwanza na amepata ajali majira ya aa moja na nusu usiku huu.
Taarifa za uhakika nilizozipata usiku huu zinasemea Mkuu wa Mkoa wa Geita Said Magalula Said amepata ajali katika eneo la Kijiji cha Buhalahala nje kidogo ya mji wa Geita baada ya gari lake kuwaparamia Ng'ombe aliokua akivuka Barabara kutoka malishoni.
Hata hivyo hakuna mtu aliyepoteza maisha kwenye ajali hiyo wala kujeruhiwa vibaya isipokuwa majeraha na maumivu ya kawaida tu,lakini gari lake limeharibika vibaya sana na sehemu ya mbele ya Gari,alikuwa akitokea jijini mwanza na amepata ajali majira ya aa moja na nusu usiku huu.