WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
- Thread starter
- #41
CHADEMA wanahusikaaaa!!!!!
Huyo kaanza tu na mshangao,subiri waje wakina Mwita maranya hapa utajiju!!!!!
CHADEMA wanahusikaaaa!!!!!
Afadhali mwenye akili za konokono hagongi kiumbe,na hata akigonga haui!!hebu waonee huruma maskini ngombe waliogongwa na kuuliwa/kuumizwa vibaya na RC!!!hapo mi naona afadhali konokono kuliko rc! Over.
Nimeuliza sheria inasemaje na si akili ya kuzaliwa nayo. sisi wengine hatukuzaliwa na akili. Akili tuli-aquire tu mbele ya safari. Kwa hiyo ninachotaka kujua sheria inasemaje kuhusu mifugo kuingia barabarani na kusababisha ajali?Kwa hiyo kwa akili uliyozaliwa nayo mkuu unaamini ng'ombe kwa kuwa yuko barabarani na sheria inakulinda umgonge!? Kwa kweli kua uyaone! Mara ngapi tunakutana na wanyama wanavuka barabara tena Dar mjini,tunapunguza mwendo na kuacha wapite...sembuse Geita. Ila wewe na Mr RC sheria inawalinda!
Poleni Ng'ombe na wenye mifugo.
Dah!!!!!!!!!!1hata kama,iweni na moyo wa huruma huyu ni binadamu mwenzio,mbona kwa sharo pole zilikuwa nyiingi,au ka sababu yeye alipotea kabisa?!
Mkuu wangu Sosoliso kwanza habari ya huyo aliyeko nyuma yako?,nadhani hapa sheria itangaliwa kisha itafuata mkondo wake!!!
Ha ha ha.. Shemeji yako hajambo Mkuu Whabhejasana.. Ila mkuu mara nyingi sheria inapindishwa kum-favour mwenye uwezo au madaraka..
Mnyama ana thamani kuliko Binadamu?!
Kwa akili yako utasema hana! . Kwataarifa yako damu ya hao ngombe ndio ya thamani kuliko hata kamati kuu CCM!
Hahahahahahahahahaaaaaaa!Mkuu hongera sjemeji yuko sawa,lakini mkuu unamtesa sana kwa sababu inaonekana hapumi mkuu wangu Sosoliso?!!
Natoa pole kwa Ng`ombe na mwenye ng`ombe.
Ni kweli mkuu kwa sababu kwa body lako na lake ni lazima iwe hivyo,lakini sasa ina maana hutaki hata kumuachia ama unaogopa vipanga wanaweza kumpitia??!!
Mnyama ana thamani kuliko Binadamu?!
Poleni sana Ng'ombe kwa kugongwa na kitu chenye ncha butu ila kina mwendo kasi
Wakuu wa JF:
Taarifa za uhakika nilizozipata usiku huu zinasemea Mkuu wa Mkoa wa Geita Said Magalula Said amepata ajali katika eneo la Kijiji cha Buhalahala nje kidogo ya mji wa Geita baada ya gari lake kuwaparamia[/SIZE] Ng'ombe aliokua akivuka Barabara kutoka malishoni.
Hata hivyo hakuna mtu aliyepoteza maisha kwenye ajali hiyo wala kujeruhiwa vibaya isipokuwa majeraha na maumivu ya kawaida tu,lakini gari lake limeharibika vibaya sana na sehemu ya mbele ya Gari,alikuwa akitokea jijini mwanza na amepata ajali majira ya aa moja na nusu usiku huu.
Ni kada wa ccm geita, nch hii hakuna wakuu wa mikoa bali ni makada wa mikoa, kwa kuwa hajaumia simpi pole
kwani hujui siku hizi thamani ya mtu inapimwa kwa kutazamwa mlengo anaosimamia ki-itikadi!!Mnyama ana thamani kuliko Binadamu?!