JERUSALEMU
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 3,106
- 3,523
Natoa pole kwa Ng`ombe na mwenye ng`ombe.
wewe ni katili sana. huyo ni kada kweli, lakini katika shida tuondoe tofauti zetu.
Natoa pole kwa Ng`ombe na mwenye ng`ombe.
Mmh, hivi sheria ya barabarani inasemaje? Ng'ombe si ndiyo aliingia barabarani? Hapo nafikiri mwenye ng'ombe ndiyo anabanwa na si aliyegonga ngómbe.
Hivi wakuu wa mikoa wana kazi gani??????!!!!!!