Prof. Lipumba apata ajali, gari yake yapinduka na kuharibika

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,275
21,443
BREAKING: PROF LIPUMBA APATA AJALI "Gari yake imepinduka na imeharibika vibaya..."

Taarifa zaidi zitakujia hivi punde

=======

Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amepata ajali eneo la Nangurukuru mkoani Lindi saa moja usiku jana Jumatano baada ya gari alilokuwa anasafiria kupinduka. Ajali hiyo haikuhusisha magari mengine.

Profesa Lipumba alikuwa anatokea Njinjo kuelekea Kivinje kwenye shughuli za chama laini alipofika Nangurukuru gari ilipinduka lakini waliokuwemo ndani ya gari ikiwemo profesa Lipumba walitoka salama.

Naibu Mkurugenzi wa haki CUF, Salvatory Madaha alitoka na majeraha madogo.

Screenshot_20230216-095051_Facebook.jpg
 
BREAKING: PROF LIPUMBA APATA AJALI "Gari yake imepinduka na imeharibika vibaya..."

Taarifa zaidi zitakujia hivi punde

=======
Mwenyekiti wa CuF, profesa Ibrahim Lipumba amepata ajali eneo la Nangurukuru mkoani Lindi saa moja usiku jana Jumatano baada ya gari alilokuwa anasafiria kupinduka. Ajali hiyo haikuhusisha magari mengine.

Profesa Lipumba alikuwa anatokea Njinjo kuelekea Kivinje kwenye shughuli za chama laini alipofika Nangurukuru gari ilipinduka lakini waliokuwemo ndani ya gari ikiwemo profesa Lipumba walitoka salama.

Naibu mkurugenzi wa haki CUF, Salvatory Madaha alitoka na majeraha madogo

View attachment 2519013
"....kupinduka kwa gari pekee, hakukupi sifa ya Kuwa Rais!...." Prof. Lipumba dakika 45 ITV
 
BREAKING: PROF LIPUMBA APATA AJALI "Gari yake imepinduka na imeharibika vibaya..."

Taarifa zaidi zitakujia hivi punde

=======
Mwenyekiti wa CuF, profesa Ibrahim Lipumba amepata ajali eneo la Nangurukuru mkoani Lindi saa moja usiku jana Jumatano baada ya gari alilokuwa anasafiria kupinduka. Ajali hiyo haikuhusisha magari mengine.

Profesa Lipumba alikuwa anatokea Njinjo kuelekea Kivinje kwenye shughuli za chama laini alipofika Nangurukuru gari ilipinduka lakini waliokuwemo ndani ya gari ikiwemo profesa Lipumba walitoka salama.

Naibu mkurugenzi wa haki CUF, Salvatory Madaha alitoka na majeraha madogo

View attachment 2519013
Kupata ajali ya kupinduka na gari hiyo haikupi sifa ya kuwa rais.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom