Wanabodi nimeona hii nyepesinyepesi niiweke hapa ubaoni; inasemekana mkuu wa 'nji' ameoa mke mdogo hivi karibuni.
Hii imetokea Dar wiki 2 zilizopiata; najua kama kawaida yenu JF mtadai ushahidi lakini walioko Bongo wanalijua hili na wapo walohudhuria 'shughuli' yenyewe.
Wanabodi nimeona hii nyepesinyepesi niiweke hapa ubaoni; inasemekana mkuu wa 'nji' ameoa mke mdogo hivi karibuni.
Hii imetokea Dar wiki 2 zilizopiata; najua kama kawaida yenu JF mtadai ushahidi lakini walioko Bongo wanalijua hili na wapo walohudhuria 'shughuli' yenyewe.
What is the news here???
Mi niko bongo silijui hili....please provide evidence otherwise ni udaku!
jamani Dini yake inaruhusu hata wanne!kama ni kweli it is ok!
embu fikiria akiwa nao wanne nani ataumia kuwahudumia hao wanne si ni sisi wananchi kwani kila mmoja lazima atakuwa na bodyguard,mashangingi,nyumba..na ishu inakuja pale watakapo kuwa wanataka kuruka majuu huko nani atatumia ndege ya mungwana itakuwa vituko vitupu na vikumbo tu./
jamani Dini yake inaruhusu hata wanne!kama ni kweli it is ok!
Mimi naona hakuna haja ya kulalamika!kwani tulimchagua tukifahamu kabisa!hivyo kama kaoa as far as ana uwezo wa kuwatunza ni sawa kabisa!
ndio inaruhusu lakini tambua anamajukumu mengi sana....na watawezaje kuwaridhisha wote?Na kuwatunza ni fedha za walalahoi ndo zitakazo watunza.
Mzee ruhsa alioa wawili aliwazaje kuwatunza na kusimamia majukumu huyu ashindwe?
jamani Dini yake inaruhusu hata wanne!kama ni kweli it is ok!
Wanabodi nimeona hii nyepesinyepesi niiweke hapa ubaoni; inasemekana mkuu wa 'nji' ameoa mke mdogo hivi karibuni.
Hii imetokea Dar wiki 2 zilizopiata; najua kama kawaida yenu JF mtadai ushahidi lakini walioko Bongo wanalijua hili na wapo walohudhuria 'shughuli' yenyewe.
kwani hawajafika tu hao wanne???!?
jamani Dini yake inaruhusu hata wanne!kama ni kweli it is ok!
Naamini wanawake wa kiislam wanatambua hilo kuwa mme wake anaweza ongeza jiko at any time!au siyo?hivyo mme akitaka kuongeza mke naamini bi mkubwaHollo
kwa radhi na ridhaa ya bi mkubwa eti si hivi hivi