jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,991
- 22,523
Mgongano wa kimaslahi hapa ni baina ya watu ndani ya ccm, na kifupi ni mgongano wa maslahi kati ya ccm na public ya Watanzania, na si Mwakyembe vs public,na ndio maana hiyo definition ya conflict of interest haiwezi kuwa aaplied against Mwakyembe. Mpo?