Mkutano wa Mwakyembe na Hoja za Mgongano wa Maslahi

Ndio hasa ilikua swali langu kwako. Why have you pre empted hio validation ya documents by implying that you do not believe that transfer has gone through because it costs a lot of money do so. What makes you think costs is the issue here? Did you give him the money to invest to know what he can and cannot do? That is why I do not understand your speculation in this. What is it Mkuu?

Dawakali,

Nafikiri nimekujibu swali lako kama hujaridhika basi sina njia nyingine ya kukusaidia.

Kama wewe unaamini kila wanachosema wanasiasa wetu, well, ni wewe na endelea kuamini.

Mimi na wengine ambao hatuamini wacha tufanye checks zote kuhakikisha kinachoongelewa hapa ni ukweli mtupu.

Huko kwingine unakoenda ni kupoteza muda wangu. Kama huoni cost ni issue kwenye ku transfer shares, nakushauri nenda BRELA kawaulize, transfer nyingi zimetupwa pale baada ya kuambiwa gharama yake. Kama wahusika kwenye case hii wana mapesa mengi wala hiyo sio hoja kwa mimi and in fact I don't care whether mtu ni tajiri au maskini lakini nina care kama anasema ukweli au hasemi ukweli.

Ondoa mambo ya mtu mmoja, hapa tunaongelea process, kama Dr. amefanya hiyo process inavyotakiwa, si ndio vizuri tukichunguza tutapata jibu?

Kunilazimisha mimi niamini wanachosema wanasiasa kweli unapoteza muda wako bure!
 
Daaah! yaani siasa za bongo hovyo hovyo kabisa. Sasa sijui hata mkweli ni nani na mwongo ni nani.
 
SWALA KUBWA LA KUJADILI HAPA SISI KAMA WANANCHI NI VIPI TUMEATHIRIKA NA HIYO KAMPUNI YA DR. MWAKYEMBE. PERIOD.


Yes, nchi yetu ni kubwa na hatuwezi kukubaliana wote kwa yote. Kila shetani na mbuyu wake, waswahili walisema. Hata huyu RA tunayemsema humu ana washabiki na supporters wake. Hilo halina ubaya.

LAKINI tufike point tujiulize. Hivi adui yetu ni nani katika hili swala la ufisadi? Hakika hatuwezi kuushinda ufisadi bila kumjua adui yetu. Na tutamjuaje? maana wanasheria watakwambia ulete ushahidi hata kama aliyeiba ni Gavana Ndullu mwenye ufunguo wa BOT! Ndo maana nasema hii vita unahitaji umakini wa hali ya juu especially kwetu sisi wananchi! Yes, Mwakyembe anaweza kuwa na kampuni etc..lakini is this really what is occupying us? Wote tunajua kabisa, isingekuwa courage ya wabunge kama Mwakyembe kuianika Dowans na Richmond, mpaka leo Lowassa na wenzake wangekuwa wanapeta.

Tujiulize sisi kama watanzania tumepoteza kiasi gani kwa WIZI wa Dowans na Richmond? hizo hela zingefanya mangapi? Lakini ajabu, kuna watu wako tayari kutokuona hilo..ilmradi malengo yao binafsi ya kisiasa wayatimize hata kama ni kum-discredit Mwakyembe. Simply because wanataka aonekana kama na yeye ni fisadi. HAPANA BWANA WE HAVE TO SAY NO! Watanzania tumechoka kuchezewa akili na hawa makuwadi wa mafisadi.

People, lets get real! No body is a saint. Mwakyembe ahukumiwe kwa makosa aliyoyafanya. Kama hiyo kampuni yake imesababisha hasara kwa taifa. Tuweke hapa hiyo habari tuijadili. Unajua ni rahisi sana kujenga hoja dhidi ya mtu. LAKINI ukweli utabaki hapa daima. Mwakyembe alipewa opportunity ya kuangalia ubadhirifu wa viongozi wetu na jukumu alilifanya vyema! NUMBERS DONT LIE!

Hapana tusiligeuze hili swala la Richmond na Dowans kama swala personal kati ya Mwakyembe na Rostam. Anayeumia ni sisi wananchi. Kwa hiyo kufikiria kwamba Mwakyembe did what he did kuianika Richmond kwa maslahi binafsi nadhani ni umasikini wa fikra wa hali ya juu!

Simtetei Mwakyembe, lakini mimi kama Mtanzania ninayelipa kodi na naishi kwenye nchi masikini kuliko zote duniani..niko VERY proud na alichokifanya Mwakyembe ku-expose ubadhirifu wa viongozi wetu. NA Iam bitter kuona kwamba watu tumeshaanza kuamini kwamba Mwakyembe alifanya uchunguzi wa Richmond kwa maslahi binafsi!

Anyway I know RA is a powerful man maana alimuhonga hata "mtu wa Mungu" Mtikila. Lakini kuna wachache wetu we are not prepared to be stupid citizens forever. Swala hapa ni Richmond na Dowans na mafisadi. Kama Mwakyembe ana swala ambalo linatuathiri kama watanzania. Liwekwe hapa tulijadili. Period.

Otherwise ule usemi kwamba Africans have the shortest memory span utatimia. Maana haiwezekani TUIBIWE SISI HARAFU TUANZE KUGEUKANA SISI KWA SISI! RA atakuwa anachekelea ujinga wa hawa stupid black Africans.
 
LAKINI tufike point tujiulize. Hivi adui yetu ni nani katika hili swala la ufisadi?

Adui yetu mkuu katika vita dhidi ya ufisadi ni ukosefu wa kiungo cha 3 na cha 4 katika vile viungo 4 alivyosema Mwalimu kuwa tunavihitaji ili tuendelee. Naam adui yetu mkuu ni ukosefu wa siasa safi na uongozi bora (huu sio utawala bora wa kuombea misaada kwa wafadhili). Ukosefu wa viungo hivi viwili ndio unafanya mashujaa kama Mwakyembe na Zitto washindwe kupambana na ufisadi wa kisiasa bungeni na mitandaoni.

Kungekuwa na siasa safi na uongozi bora leo bunge lingekuwa limeshaibana Serikali ya CCM itekeleze maazimio yote ya Kamati Teule ya Mwakyembe. Naam kungekuwa na uongozi bora na siasa safi leo Bunge lingekuwa limeshapitisha muswada wa Zitto kuhusu mgongano wa maslahi. Ndio tungekuwa na siasa safi na uongozi bora sheria za kuvibana vyama vya Siasa na Serikali kutokuwa na mgongano wa kimaslahi wakati wa chaguzi ungekuwa ushapitishwa mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2009 na miaka miwili kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 maana hakika fedha za uchaguzi hutafutwa mapema.

Ndio maana nasema na nitarudia kusema kuwa ufisadi u ndani yetu wenyewe kwenye nyoyo/hisia na akili/fikra zetu: ni sisi wenyewe mafisadi pamoja na wapenzi wetu, majirani zetu, marafiki zetu, ndugu zetu na hata mashujaa wetu maana tunajilinda na kulindana kwa gharama yoyote ile badala ya kujenga nchi yenye siasa safi na uongozi bora - hakika kikulacho ki nguoni mwetu na tunaliwa tule!
 
Tupo ukurasa mmoja mkuu.

Naitafuta latest doc ya 2007/08 ili tuone kama yuko sahihi.

Ilikuwa ni vema tuweke ile doc ambayo ilikuwa inatumiwa na vyombo vya habari katika kuongelea issue ya Mwakyembe... Kwakuwa katoa hints za nini kifuatiliwe kwa karibu nadhani ni vema kumtendea haki, kuangalia nyaraka ambazo ni latest

Hapo nimekusoma mkuu na niko pamoja nawe.

Kwa jinsi picha hii inavyoendelea ninaamini Rostom and his friends will be the big losers! Tusubili tuone.
 
Dawakali,

Nafikiri nimekujibu swali lako kama hujaridhika basi sina njia nyingine ya kukusaidia.

Kama wewe unaamini kila wanachosema wanasiasa wetu, well, ni wewe na endelea kuamini.

Mimi na wengine ambao hatuamini wacha tufanye checks zote kuhakikisha kinachoongelewa hapa ni ukweli mtupu.

Huko kwingine unakoenda ni kupoteza muda wangu. Kama huoni cost ni issue kwenye ku transfer shares, nakushauri nenda BRELA kawaulize, transfer nyingi zimetupwa pale baada ya kuambiwa gharama yake. Kama wahusika kwenye case hii wana mapesa mengi wala hiyo sio hoja kwa mimi and in fact I don't care whether mtu ni tajiri au maskini lakini nina care kama anasema ukweli au hasemi ukweli.

Ondoa mambo ya mtu mmoja, hapa tunaongelea process, kama Dr. amefanya hiyo process inavyotakiwa, si ndio vizuri tukichunguza tutapata jibu?

Kunilazimisha mimi niamini wanachosema wanasiasa kweli unapoteza muda wako bure!

Sikulazimishi kitu. Nimekueleza kwamba documents of transfer are to be verified na wote sisi will know the thruth. Sasa wewe ukarukia kwamba it is too expensive na unaamini kwamba it has not been done. Kabla kuona hizo documents are true or not kama unavyo dai. Umeji-contradict. You even go on to say you do not care kama wahusika have the money, watati apo hapo ulisha tahadhari the expenses of costs za transfer, another contradiction.

Isiwe shida, the question I asked of you, I believe I now have the answer. Tugange ya mbele.
 
Kwanza ni hivi:

Anasema mambo aloyasema Bungeni hakumaanisha kampuni hii.

Anasema watu wameshindwa hoja ndani ya Bunge na magazeti kama Tazama yanaanza kumwandama.

Anasema magazeti haya yanaamua kuwadanganya wananchi kupotea katika ukweli wa habari yenyewe.

Anasema kitendo cha kuandika "Mwakyembe katika Tuhuma Nzito" ni kukuza mambo tu. Anasema issues ambazo zingeweza kumalizikia Bungeni zinaanza kumaliziwa kwenye magazeti tu. Anasema ya Bunge yabaki Bungeni.

Ameulizwa "Kampuni hii imeanza Uzalishaji?"

Anajibu "Imepata kiwanja cha kwanza kule Singida" na anawashukuru sana raia wa Singida kuwakubalia. Haijaanza uzalishaji wa Umeme

Asante kwa updates angalizo tusitoe hukumu mpaka report ikamilike
 
No wonder Rostam anatuchezea. Wasomi mahiri, waandishi magwiji, wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa wenye majina wote wakitoka wanalia ROstam, Rostam, Rostam. Inaudhi na pia inakera. Kwangu mimi Rostam ni mbunge tu Igunga, sasa kama kila mtu akitoka anasema Rostam hiki Rostam kile Rostam huku. Jamani wanasiasa na waandishi maarufu huo ni upuuzi na kumjenga mtu bure. Kwa sababu kama Rostam ana nguvu za kuwaumiza wenzie anazitoa wapi-CCM, kama anapesa za kuwaliza na kuwaweka viongozi anazitoa wapi-CCM (ambao ndiyo wanatuibia BoT, PPF, NSSF, nk), kama Rostam ana kiburi anakitoa wapi-CCM (kwa rafiki yake JK). Kwa hiyo kwangu haiingii akilini kila siku kulalamika Rostam, Rostam wakati tunajua mbaya ni CCM. Kingine Mwakyembe kama Rostam anakuchafua ni kwamba CCM ya mafisadi inakuchafua. Kwa hiyo badala ya kulalamikalalamika hama Chama au Anzisheni Chama kingine sisi tutawaunga mkono tu. Hiyo itasaidia kuondoal jinamizi Rostam kwenye ndoto zenu for good. Lakini najua hamna ubavu wa kuhama wala kuanzisha vyama kwa sababu na nyie hamko kwa ajili ya wananchi na pia mnajua mtashughulikiwa kama nyie wenyewe (CCM) mlivyowashughulikia wenzenu waliojaribu kuhama (mfano Njelu Kasaka). Kwa hiyo tumechoka na hizo nyimbo zenu ambazo hazina kibwagizo kama hamtafanya kitendo cha kijasiri sasa.
mkuu heshima...umenena.

hapa ndo tulio wengi hatutaki kukubali ukwelii....rostamu hana tatizo na yeyote yeye anatumia mfumo kuuulindaa dhidi ya maadui kama hao walalamikaji wasiojitambuaaa...

kila siku siasa za maji taka!!!!!!!!!!!!! what for....nyie mnavyowafanyia wenzenu ni siasa za maji gani??????? mwakyembe umeenda shule kwa jasho la wazazi wako/serikali changanua mambo kwa uwezo uliojaliwa na tetea ukweli kwa kujiondoa CCM kama kweli wataka kuiokoa jamii dhidi ya ufisadi wa CCM....

Kama huwezi basi endelea kumlamba rostamu miguu kwani bila yeye(mbinu anazowapa) CCM isingekuwa na uwezo wa kuendelea kutulaghai kupata madaraka...

kila mtapatapa kisiasa chni kwa sasa ALIYEKO CCM anamlilia rostamu kuanzia SITTA, MWAKYEMBE, SENDEKA, SELELI NA WENGINEO...

TENA KWA TABIA WALIZOONYESHA HATA UPINZANI WAOGOPENI WATAKAPOPIGA HODI KWENUU...
 
"Uzuka ubishi mkali kati ya Mwakyembe na vibaraka wa rostam, hasa Balile aliyekua anataka kung'ang'ania kuwa kanuni si sheria...Dr akamwangusha vibaya mno juu ya ubishanii huo.
kwa ufupi amesema anamiliki hiyo kampuni, ila anasema hawezi kutangaza confilic of interest sehamu ambayo hamna maslahi ya kifedha (accoding to sheria conflict of interest lazima kuwe na maslahi ya kifedha) as hiyo kampuni yake haina hata shilingi na inahitaji kama nusu trillion ili kutake off, so it is currently just a dream, ambayo inaweza ikawa au isiwe."

***********************
THE GOLDEN MEAN:

Hawa vibaraka/wapiga debe wa Rostam walitumwa kwa kazi maalumu, kujaribu kumvuruga -- ingawa Balile mara nyingi huwa hana hoja zozote za maana isipokuwa tu kulipa fadhila ya ile Defender aliyonunuliwa na Rostam. Anajaribu kila njia kumridhisha bwana wake kwamba hakukosea kumpatia hilo gari.

Habari kutoka Habari Corporation zinasema habari hii ya Mwakyembe -- kwa namna ya kumponda -- zinatakiwa zitoke katika gazeti la Rai la kesho (Alhamisi) ambalo tayari liko mtamboni na agizo tayari limetolewa na mhariri wake (muhingo) kubadilisha ukurasa wa kwanza ili zibebe habari hiyo, at least kwa wasomaji wa Dar.
 
Invissible naku salute mkuu kwa kutuhabarisha,Mwakiembe asitake kutufanya watanzania hatuna akili ww mwenyewe ulitupostia hapa document zake brella zinaonyesha kuwa mpaka jully 2007 alikuwa bado ni share holder wa hii kampuni..

Ifike mahali tusichezewe akili kiasi hichi ukiangalia kikao cha board ya hii kampuni ya mwakiembe hizo share anazo mpaka 3rd board meeting alokaa na yeye kupongezwa na bado kulifanyaika re allotment of shares na mwaky alichukua share 15 zikiwa na lengo la kuongeza mtaji wa 10bn ambao kikao chao cha April cha board kiliamua.

Lakini hiyo hoja ni utoto kama ali transfer 2006>2007 alitransfer share zipi zile 1400 or za tbc 1998 or za mecco cha kushangaza waandishi hawajauliza hili swali JF ni sehem Takatifu ambayo hujadili vitu kwa mantiki.

Najiuliza kama hoja yake ya kuuza share or kutransfer je alilipa kodi zetu stahili kuna 10 parcent capital gain tax na 1 parcent stamp duty je hizi alilipa mpaka jully 2007 document halali zinaonyesha kuwa jamaa alikuwa share holder.

Nikiwa katika korido za BRELA leo nimeona wabunge wawili wote wakikimbiza kutafuta Faili za Hii kampuni ya mwakiemnbe na pia ofisi ya bunge ikiwa inalitafuta hili faili najiuliza wapambe wa mwakiembe wanataka hili faili la nini kwa taarifa mbunge mmoja ni mwakiembe mwenyewe huyo mwingine ni wa upinzani.

Mwakiembe ameshambulia kampuni ya New Habari kuwa ni RA huyu jamaa ndo maana pale chuo alikuwa ni Mmoja wa wahadhiri wabovu hakuna document inayo onyesha kuwa RA ana hisa Habari Corporation,sasa anap[osema RA anamchafua kwa magazetio yake ni hoja ya kitoto,nilitegemea angekuja kutueleza why haku decleare intrest ameshindwa na kuleta utoto kuwa mbona waandishi wana magazeti na bado ni waajiriwa kwa hiyo tuhalalishe uovu kwa kuwa flani kafanya maovu,

Kwakweli Tabia ya wanasiasa kukimbilia Personallty badala ya kujibu hoja ni mbaya sana mtu akitofautiana na Mwaky,Sita,SELELLII,na wenzie basi kanunuliwa au ni Fisadi,hapa tulimtuhumu zito kwa kuwa kajenga hoja yake why we should buy Dowans badala ya kujibu hoja wanasiasa,na hata hapa JF tuligeuka wote kumshambulia kuwa kanunuliwa for god sake ni hatari kuendesha Nchi au wananchi kuwa na Mawazo kuwa yoyote mwenye Msimamo wake tofauti na wengine basi anatumika.

Mwisho na decleare my position kuwa mm ni mwana CCM na ktk hili naungana na zito kwa HOJA na si Itikadi,Mwakiembe natofautiana nae kwa HOJA,MAADILI,ila Naungana nae kwa ITIKADI ya Chama ingawa yeye yupo CCM inayoendeshwa kwa hisia zaidi na personality ,wakati mm nipo CCM inayoa amini ktk hoja

Yumkini wewe nawe ni kama Serukamba au Ngeleja ambao ni houseboys wa RA na Lowasa. Unamuunga mkono Zitto kwa lipi ndugu yangu? Uozo wote wa Richmond uiohamishiwa Dowans kwako ni sawa tu? Kampuni zisizotaka kujulikana wamiliki wake ni akina nani wewe unazishabikai kabisa? Oooooh, come on! Jamani fikiri kabla hujatoa maoni yako kwani watanzania wa sasa si mbumbumbu tena.
 
Mkutano na waandishi wa habari umeanza takribani dakika 20 zilizopita.

Rostam kawatuma Manyerere, Ballile na Sarah Mosi.

Tutaendelea kuwafahamisha kinachoendelea

Kama kweli waandishi niliokuwa nawaaamini kama Sara Mosi wa Mwananchi na Balile wameamua kutumiwa na mafisadi kweli tamaa ya mali ni hatari kwani hawa si waandi wa njaa kiasi hicho.Lakini zaidi naona Sara Mosi ameanza kutumiwa muda mrefu na EL maana habari watu waliohujumiwa na EL aliziweka kapuni akiwa Gazeti la Mwananchi,sasa sijui anatumiwa kwa habari tuu au kwa mambo mengine maana hawa mafisadi wa mali za umma ni mafisadi pia wa uasherati.Wana JF mwageni zaidi.
 
RA alisimama ishu ya Mtikila sasa sijui kombora hili la Mwakyembe nalo atasimama na DATA labda Mwakyembe naye alikopa ada za watoto kwa RA ngoja tusubili nini kinaendelea hapo.
 
Lazima patachimbika tu! Moto wa Richmond/Dowans hautazimwa kirahisi rahisi hivyo...
 
Sikulazimishi kitu. Nimekueleza kwamba documents of transfer are to be verified na wote sisi will know the thruth. Sasa wewe ukarukia kwamba it is too expensive na unaamini kwamba it has not been done. Kabla kuona hizo documents are true or not kama unavyo dai. Umeji-contradict. You even go on to say you do not care kama wahusika have the money, watati apo hapo ulisha tahadhari the expenses of costs za transfer, another contradiction.

Isiwe shida, the question I asked of you, I believe I now have the answer. Tugange ya mbele.

DawaKali,

Ulichoandika hapo sio sahihi kabisa kwasababu unanibandikia maneno ambayo mimi sijaandika. Mwulize mtu mwingine yeyote asome nilichoandika na aangalie unachoandika.

Mwanzoni ulisema mimi nimesema Dr kadanganya, nikakuambia nionyeshe nilipoandika hivyo hukufanya.

Sasa unasema nimeandika kwamba ninaamini it (share transfer) has not be done.

Unatoa wapi hayo unayoyaandika?

Please, please stop misquoting me, kama huweza kuelewa nilichoandika basi quote direct nilichoandika.

Naamini umesome na ku misquote mtu kwa makusudi ni kosa!
 
SWALA KUBWA LA KUJADILI HAPA SISI KAMA WANANCHI NI VIPI TUMEATHIRIKA NA HIYO KAMPUNI YA DR. MWAKYEMBE. PERIOD.


Yes, nchi yetu ni kubwa na hatuwezi kukubaliana wote kwa yote. Kila shetani na mbuyu wake, waswahili walisema. Hata huyu RA tunayemsema humu ana washabiki na supporters wake. Hilo halina ubaya.

LAKINI tufike point tujiulize. Hivi adui yetu ni nani katika hili swala la ufisadi? Hakika hatuwezi kuushinda ufisadi bila kumjua adui yetu. Na tutamjuaje? maana wanasheria watakwambia ulete ushahidi hata kama aliyeiba ni Gavana Ndullu mwenye ufunguo wa BOT! Ndo maana nasema hii vita unahitaji umakini wa hali ya juu especially kwetu sisi wananchi! Yes, Mwakyembe anaweza kuwa na kampuni etc..lakini is this really what is occupying us? Wote tunajua kabisa, isingekuwa courage ya wabunge kama Mwakyembe kuianika Dowans na Richmond, mpaka leo Lowassa na wenzake wangekuwa wanapeta.

Tujiulize sisi kama watanzania tumepoteza kiasi gani kwa WIZI wa Dowans na Richmond? hizo hela zingefanya mangapi? Lakini ajabu, kuna watu wako tayari kutokuona hilo..ilmradi malengo yao binafsi ya kisiasa wayatimize hata kama ni kum-discredit Mwakyembe. Simply because wanataka aonekana kama na yeye ni fisadi. HAPANA BWANA WE HAVE TO SAY NO! Watanzania tumechoka kuchezewa akili na hawa makuwadi wa mafisadi.

People, lets get real! No body is a saint. Mwakyembe ahukumiwe kwa makosa aliyoyafanya. Kama hiyo kampuni yake imesababisha hasara kwa taifa. Tuweke hapa hiyo habari tuijadili. Unajua ni rahisi sana kujenga hoja dhidi ya mtu. LAKINI ukweli utabaki hapa daima. Mwakyembe alipewa opportunity ya kuangalia ubadhirifu wa viongozi wetu na jukumu alilifanya vyema! NUMBERS DONT LIE!

Hapana tusiligeuze hili swala la Richmond na Dowans kama swala personal kati ya Mwakyembe na Rostam. Anayeumia ni sisi wananchi. Kwa hiyo kufikiria kwamba Mwakyembe did what he did kuianika Richmond kwa maslahi binafsi nadhani ni umasikini wa fikra wa hali ya juu!

Simtetei Mwakyembe, lakini mimi kama Mtanzania ninayelipa kodi na naishi kwenye nchi masikini kuliko zote duniani..niko VERY proud na alichokifanya Mwakyembe ku-expose ubadhirifu wa viongozi wetu. NA Iam bitter kuona kwamba watu tumeshaanza kuamini kwamba Mwakyembe alifanya uchunguzi wa Richmond kwa maslahi binafsi!

Anyway I know RA is a powerful man maana alimuhonga hata "mtu wa Mungu" Mtikila. Lakini kuna wachache wetu we are not prepared to be stupid citizens forever. Swala hapa ni Richmond na Dowans na mafisadi. Kama Mwakyembe ana swala ambalo linatuathiri kama watanzania. Liwekwe hapa tulijadili. Period.

Otherwise ule usemi kwamba Africans have the shortest memory span utatimia. Maana haiwezekani TUIBIWE SISI HARAFU TUANZE KUGEUKANA SISI KWA SISI! RA atakuwa anachekelea ujinga wa hawa stupid black Africans.

Thai is what i call the POWER OF JF...don't underestimate it.....

Mkuu Masanja....once again nakubalina na wewe, huko nyuma nilisema MAFISADI wancheza Mafia Style.....nafurahi kuona umeliona hilo......

otherwise tuendelee kupata elimu ya conflict of interest

kuna maswali ninajiuliza
1. hivi thamani ya share....how are they built-up?........maana hapa namkumbuka Prof Kichuguu alivyopoteza pesa zake kutokana na share kushuka thamani

2.Je ni kweli thamani ya shares walizotaja akina Mwakyembe. i.e...is that true that they worth that amount?
 
...kifupi Mwakyembe amesema YEYE alishajiondoa kwenye kampuni kama mwana hisa lakini yeye pamoja na wabunge wengi wanaiunga mkono kampuni hii na wanaendelea mpaka sasa kuwa interested nayo kwani ni ya wazalendo na haijawahi kupata mkopo toka benki yoyote japo ni ya wazawa.

...kwa ufupi amesema anamiliki hiyo kampuni, ila anasema hawezi kutangaza confilic of interest sehamu ambayo hamna maslahi ya kifedha (accoding to sheria conflict of interest lazima kuwe na maslahi ya kifedha) as hiyo kampuni yake haina hata shilingi na inahitaji kama nusu trillion ili kutake off, so it is currently just a dream, ambayo inaweza ikawa au isiwe.

Sky News International wanasema Harry kasema hana kampuni, BBC World News wanasema Harry kasema anayo kampuni.

Wote Sky News na BBC World wanasema walimsikia Harry.

Je, sisi tulioko Matengo Juu, njia panda kuekelea Mbamba Bay, mwisho wa nchi, mwisho wa reli, ambako radio mbao zinashika breaking news za Maputo na Lilongwe, do we have a chance of ever knowing what Harry said?
 
Mwakyembe kama RA ataendelea kukusakama mwaga unga juu uhusiano wake na JK pamoja na EL.Uendelee kuhamasisha uwekezaji wenye maslahi kwa TZ kwenye nishati.
 
Ulizuka ubishi mkali kati ya Mwakyembe na vibaraka wa rostam, hasa Balile aliyekua anataka kung'ang'ania kuwa kanuni si sheria...Dr akamwangusha vibaya mno juu ya ubishanii huo.
kwa ufupi amesema anamiliki hiyo kampuni, ila anasema hawezi kutangaza confilic of interest sehamu ambayo hamna maslahi ya kifedha (accoding to sheria conflict of interest lazima kuwe na maslahi ya kifedha) as hiyo kampuni yake haina hata shilingi na inahitaji kama nusu trillion ili kutake off, so it is currently just a dream, ambayo inaweza ikawa au isiwe.

du mwakyembe kiboko kampuni yenye mtaji wa bilioni nane anasema haina pesa ....yeye mwenyewe kawekeza bilioni 1.5 pale...na kama anasema kuwa kajitoa 2006 mbona ocument zilizowekwa hapa ni za 2007 na bado alikuwapo? waandishi waliokuwa pale hawakumbana vema....

na kuhusu kuanza kushambulia watu badala ya hoja ni weakness ya mwakyembe pamoja na kuwa ni msomi...alipokuwa anawasilisha hoja bungeni kwa mbwembwe..nilidhani imetokea tu,nilianza kupata mashaka alipokuwa akihojiwa na chuwa ....aliulizwa swali zuri lakini akapoteza muda mwingi kupiga siasa na kumshambulia zito ......na kusema ni sangara za CHADEMA .

SASA nikasema huyu hawajuwi ccm wenzake ndio watakaom corner bila huruma..... ccm ukishakuwa sio mwenzao hata uwe malaika watakutafutia kosa..... hii kazi ya kummaliza mwakyembe inafanywa na ccm kwa ccm .....namuonea huruma!
 
Back
Top Bottom