Mkutano wa Mwakyembe na Hoja za Mgongano wa Maslahi

Kaka naiprint ili niweze kuirudia mara kwa mara.Ni dokument ambayo ktk mwaka huu imeniingia na kunigusa zaidi.
I have learn a lot from this article.
 
Asante sana kwa POST yako lakini naona bado haijajitosheleza.
Nafikiri ingekuwa vizuri ungejenga Hoja, utuambie nini Mhariri anakiandika kwa kifupi, na pia utuambie wapi unadhani ameenda kombo na utuambie alikuwaje huko nyuma, pia utuweke wazi wanafanan vipi na Mh. Zitto mpaka unafikia azimio la kusema kilichomgeuza Zitto ndicho kilicho mgeuza mhariri.

Fikiria leo tunakuchaguwa kuwa Diwani wetu, Utaenda kwenye kikao cha Halmashauri na hoja kama hii? Tafadhari kama hapa ni mahali ambapo great thinkers wanakutana basi nakuomba Jenga Hoja ili watu tuweke Vichwa vyetu kazini kuichambua. Kusema kama unafuatilia tu haitoshi inawezekana nafuatilia lakini ukumbuke hatuna mtazamo sawa wa kuelewa mambo, kwa hiyo siwezi kuona kile unachokiona wewe, kwa hiyo kama kuna kitu ambacho mwenzetu umeona kiweke wazi hapa ili tupate pa kuanzia, na inawezekana ikawa ndio faida ya kutufumbua macho hata tuliokuwa tunapelekwa pembeni na huyo Mhariri.
 
Weborya zungumza na Mwanakijiji hii kitu ipate nafasi kwenye Cheche ili wengi waweza nufaika kama sisi hapa JF

Thanks
 
Kipanya na yeye!

i293_kipanya.jpg
 
Mie hata sielewei ni kwanni tunajadili haya mambo,yaani nchi imekuwa ya watu wawili watatu tu kila siku..lets wait and see
 
Recta,

Kauli inayosemwa ilikuwa ya kibaguzi ni ile ya "wengine wana passport tatu tatu, sisi ni wazawa/wazalendo hatuna kwa kwenda na tutafia hapa hapa" Sija quote exactly ila ilikuwa karibu na hiyo.

Hivi Dr. Hayajui ya Ballali? Mweusi mwenzetu yule na katuibia na kuishia visiwani huko.

Hayajui ya Chenge, mweusi mwenzetu huyo na visenti vyake kwenye visiwa.

Sidhani kama Dr. ana ushahidi kwamba Rostam ana passports tatu, kilikuwa kijembe cha kisiasa ambacho kinalenga kwenye ubaguzi.

Let's not blind ourselves, whether Dr. Mwakyembe knows of existence of RA's foreign passport or not. There is a historical precedence over the issue set by most, if not all successful Tanzanians of Asian decent, to link themselves to some foreign countries.

Whether the likes of Ballali, Chenge and a few other bantu Tanzanians, too had similar arangements, that will be a tiny number among millions abantu Tanzanians, while in contrast the numbers represented by Tanzanians of foreign decent is of significant %.

If stating the facts makes Dr. Mwakyembe a racist just because Tanzanians of foreign decent are the culprit, then let it be. But facts can neither be created nor be altered as they are just facts.
 
Waberoya,

Mkuu wangu kitu kizito hicho...shukran sana hasa ulipogusia hukumu nzito ya hoja zote zinazotukabiri humu JF..

Hakuna ushindi isipokuwa kuondoka kwa CCM madarakani kwani huwezi kubadilisha chama CCM bila kubadilisha viongozi waliopo kwani hao wasafi kamwe haawezi kuondoka wala kuuputa mkono unaweka tonge kinywani....jambo ambalo haliwezekani sii leo wala kesho..

Kitu kimoja tu, ndani ya CCM wapo wasafi na usafi wao hauwezi kuonekana kama watabakia ktk shimo hilo la maji machafu..Kitu kimoja tu mkuu wangu, haya ndiyo maisha ya mtu maskini na mtazamo wetu unaishia pale umaskini unapoweza..Ni sawa na mimi navyoitazama Afrika leo hii na kusema Miafrika ndivyo tulivyo!.. kwa sababu ktk mapana ya maendeleo Afrika ni sawa na tunaishi katika shimo la maji machafu, na ukimwambia mtu anayeishi Tanzania au nchi yoyote Afrika kuwa yuko shimoni hataweza kuamini maneno haya..

Ukienda Chad , Guinea Bissau au Sudan utawakuta watu wakisema fulani mchafu wakifikiria wao wasafi na hata wanaweza diriki kusema Sudan imeendelea kuliko Tanzania wakati sote tupo ktk dimbwi la maji machafu pengine wao ktk Toxic kabisa...Leo hii Bongo wapo watu wanaamini kuwa mambo ni tambarare..Yaani imekuwa msemo kabisa wa maskini kujipa moyo wakati hali ni mbaya ajabu..

Kwa hiyo, mkuu wangu tusitegemee kabisa kwamba hawa kina Mwakyembe, Sitta, Mama Kilango wataelewa kuwa sii wasafi tunapowatazama kwa jicho la nje, kama wazungu wanavyoitazama Afrika..Haina maana Afrika hakuna watu wasafi au wenye maendeleo isipokuwa uchache wao ndio unaofanya Afrika tunaonekana wachafu naskini na wepesi wa kugawana Umaskini badala ya kuzalisha kuondokana na Umaskini..

Lakini basi tusikubali hata siku moja kuachia fikra za wokovu kutoka ktk dimbiwi hili kwa sababu tumekuwa lebeled kuwa ni wachafu..Wapo watu Afrika wenye utajiri na usafi mkubwa kuliko wale wa Ughaibuni..Wapo wananchi pamoja na uchafu wetu wanasema tutabanana humu humu ktk dimbwi hili hadi kieleweke..na hakika ni watu kama hawa wanaoweza kuoibadilisha Afrika zaidi ya sisi tulioko nje tukitupia macho ndani..Hawa ndio kina Mwakembe na wataendelea kuwepo ktk dampo!

Watu kama Mwakyembe wanajua machafu yote ya CCM na wanafahamu kina nani kikwazo kikubwa cha maendeleo nchini hata kama wao wako shimo la taka...kwa hiyo mtazamom wao ni wa ndani ya shimo wakati sisi tunawatazama toka nje..

Kitu kimoja kikubwa sana ulichozungumza ni watu kama hawa kuwa na mawazo zaidi ya kuondoka ndani ya shimo hilo badala ya kunyooshea watu vidole wakati wao wenyewe hukoga maji yaleyale...Aidha wanaweza kushawishi wananchi wanachama wa CCM waliomo shimoni umuhimu wa kujitoa ktk shimo hilo la taka... mzigo wa kuikomboa Tanzania sii wa watu wachache ama kundi la watu wasafi tu bali ni nguvu ya watu wote kuweza kuona uchafu na kubaini yaliyo mema kiroho na kwa vitendo.

Dunia hii yote tunaishi na watu kama hawa iwe kwa dini au imani zozote zile.. Wachafu siku zote watakuwepo na hawataisha isipokuwa msafi ni yule aliyesafi kwa matendo yake na sio maneno yake au imani tupu..mchafu atakayeweza kutubu na kuungama akabatizwa upya sii lazima katika dhehebu jingine.. muhimu ni kwa mtu huyo kuondokana kabisa na machafu ya kidunia akawa msafi wa roho..na ndicho nachokiona kwa watu kama Mwakyembe, Anna Kilango, Siita, Dr Slaa na mh. mbunge wangu Zitto (JF) ambaye kwa bahati mbaya kateleza na kufanya madhambi ambayo yanaweza kabisa kusameheka isipokuwa tu haamini kuwa ametenda dhambi...Ipo siku atamrudia Mungu wake..

Nitamalizia kwa kusema kwamba hawa watu kina Mwakyembe hatuwahitaji Chadema wala CUF waache huko huko waliko hadi siku watakubali imani ya dini hii na sio kuingia dini hii kwa sababu wao ni wasafi ama wanaonyesha usafi wa roho wakati hawakubaliani kabisa na mafundisho ya dini hii..Ni lazima wamkubali bwana (katiba) na wafahamu kwamba hapa sio swala la ibada tu na usafi wa roho isipokuwa ni pamoja na matendo yao..

Kazi ya kutoka shimo la taka sii kutafuta usafi ama kujionesha kuwa wewe ni msafi isipokuwa ni swala la mhusika kuweza kuishi msafi na akautangaza usafi kwa taratibu za wale aliowakuta nje ya shimo hilo...maanake usafi wa ndani ya shimo au Dampo hauwezi kuvumiliwa huku nje ambako hata shuzi ni lazima litanguliwe na samahani..
 
No comments! nadhani mmeelewa kwamba sarah ni msafi. Hiyo ni ajenda nilipenda ieleweke.
Sarah,

Kuajiriwa hakuwezi kusababisha uwe mchafu. Natambua nawe upo ki-maslahi zaidi kazini. Ombi langu ni moja, angalia usichafuliwe na wachafu waliokuzunguka!

Hata ukiangalia kwenye topic hii hoja kuu niliandika kuwa Rostam kakutuma (kama mfanyakazi nikimaanisha).

Kazi njema na kumbuka "Maslahi ya Taifa mbele daima"
 
Kama Rostam anaoga maji machafu Mwakyembe anaishi kwenye dampo!CCM ni dampo, ni jalala, anayeishi humo hani-convince kuwa naye ni msafi hata kama atasema msafi hata kama nitamwona msafi, lakini yuko sehemu chafu, anakula, anaongea, anapanga mipango na hawa wachafu! Huyu naye by no means ni mchafu!Tusafishe Tanzania

Haya chadema mmepewa msemo wa bure hapa! Hizi lugha zikiongelewa mara kwa mara zitawatoa watu nyumbani sikuya kupiga kura wakiwa na hasira. mambo ya "yes we can " huku bado sana hivyo

Huu utapiamlo wa ubongo wa kudhania kuwa kuna wasafi CCM ukiisha ndio ukombozi wetu, mapinduzi ya fikra yakianzia na watu wanaojiona wanajua ndio mwanzo wa ukombozi, hakuna msafi CCM!

Watu waliotayari ku-compromise na mafisadi hali wakijua kuwa ni mafisadi even more than us, they are dangerous than an angry venomous snake, even worser than those mafisadi.

Ikiwa mawazo yetu yamekuwa controlled na CCM kuwa hakuna ukombozi nje ya CCM then we are far away from the freedom! lets wait for another 5 years of posting our wishful and unproductive thinking and NEWS!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom