Mkutano na waandishi wa habari umeanza takribani dakika 20 zilizopita.
Rostam kawatuma Manyerere, Ballile na Sarah Mosi.
Tutaendelea kuwafahamisha kinachoendelea
Kwanza ni hivi:Tuache ushabiki lete news anapinga yaliyosemwa na zile documents au anakubaliana nazo. Je hakukuwa na conflict of interest katika maamuzi na uchunguzi uliofanywa na kama ni hivyo sidhani in the future Dowans au Mwakyembe company zipewe umuhimu wowote wa tenda kama wako hivyo kuweka imani kwa wananchi