Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza, zuia watumishi chini yako kusumbua raia maskini wasio na Leseni

Lipeni Kodi acheni janja janja.

Ikiuzwa bandari kelele, wakisafirisha tumbili kelele, migodi kubinafsishwa yoweee.

Kodi ni lazima, tena inawachekea sana serikali. Magu alipotangaza 20,000 machinga walimwagika Kwa sababu alikuwa mtata kwenye kudili na anayemkwamusha.

Mauzo Hadi 3,999,999 Kwa mwaka hulupi Kodi(tax) lakini utalipa tozo(levy) sh 20,000 na kuanzia 4,000,000 to 7,500,000 unalipa Kodi 150,000 na tozo 20,000.

Serikali isipokaza kukusanya Kodi Kwa damu, machozi na jasho Kila siku deni la taifa litakuwa linaongezeka.
 
Lipeni Kodi acheni janja janja.

Ikiuzwa bandari kelele, wakisafirisha tumbili kelele, migodi kubinafsishwa yoweee.

Kodi ni lazima, tena inawachekea sana serikali. Magu alipotangaza 20,000 machinga walimwagika Kwa sababu alikuwa mtata kwenye kudili na anayemkwamusha.

Mauzo Hadi 3,999,999 Kwa mwaka hulupi Kodi(tax) lakini utalipa tozo(levy) sh 20,000 na kuanzia 4,000,000 to 7,500,000 unalipa Kodi 150,000 na tozo 20,000.

Serikali isipokaza kukusanya Kodi Kwa damu, machozi na jasho Kila siku deni la taifa litakuwa linaongezeka.
Mwamko wa wananchi kulipa Kodi uendane na uwajibikaji na matumizi sahihi ya Kodi zinazokusanywa,

Haiwezekani kukimbiza wananchi kulipa Kodi, halafu wakishalipa zinaibwa na CAG akiripoti, hakuna hatua madhubuti zinachukuliwa.

Nashauri wenye mtaji chini ya ml 5 Kwa mwaka, walipe 50,000 pekee Kwa mwaka, na wasilipe Kodi ingine TRA Wala Jiji.
 
Kama huwezi kulipia leseni 150000 kwa mwaka wewe sio mfanyabiashara na kuwa mfanyabiashara

Unawatetea wauza chips ambao kwa siku wanakunja faida hadi 40000?

Mama ntilie hadi wenye saluni hawashindwi kulipa hyo hela kwa mwaka
 
Sasa gia wanayotumia ni kubwa mno, wapunguze.

Chanzo hicho kinadai, yaani wanakuja wamejipanga, Hadi Wana hakimu, na askari mwenye silaha,

Ukikosa faini ya 150, 000/= unahukimiwa JELA miezi SITA hapo hapo.

Na mbaya zaidi, ukiwakimbia mchana, usiku pia wanakuja Kwa kuvizia.

Hii ni kinyume Cha SHERIA, kuwindana usiku kama vile anatafutwa jambazi!!
Sheria inasema ili uruhusiwe lufanya lazima uwe na leseni

Na hyo 150000 ni sawa na sh 400 mwa siku

Unashindwa vipi kulipa kodi ya 400 kwa siku? Kwa ajili ya maendeleo ya nchi yako?
 
Sasa gia wanayotumia ni kubwa mno, wapunguze.

Chanzo hicho kinadai, yaani wanakuja wamejipanga, Hadi Wana hakimu, na askari mwenye silaha,

Ukikosa faini ya 150, 000/= unahukimiwa JELA miezi SITA hapo hapo.

Na mbaya zaidi, ukiwakimbia mchana, usiku pia wanakuja Kwa kuvizia.

Hii ni kinyume Cha SHERIA, kuwindana usiku kama vile anatafutwa jambazi!!
Kinyume cha Sheria ipi? Lipeni kodi
 
Sheria inasema ili uruhusiwe lufanya lazima uwe na leseni

Na hyo 150000 ni sawa na sh 400 mwa siku

Unashindwa vipi kulipa kodi ya 400 kwa siku? Kwa ajili ya maendeleo ya nchi yako?
Hizo bidhaa unanunua wewe?
 
Lipeni Kodi acheni janja janja.

Ikiuzwa bandari kelele, wakisafirisha tumbili kelele, migodi kubinafsishwa yoweee.

Kodi ni lazima, tena inawachekea sana serikali. Magu alipotangaza 20,000 machinga walimwagika Kwa sababu alikuwa mtata kwenye kudili na anayemkwamusha.

Mauzo Hadi 3,999,999 Kwa mwaka hulupi Kodi(tax) lakini utalipa tozo(levy) sh 20,000 na kuanzia 4,000,000 to 7,500,000 unalipa Kodi 150,000 na tozo 20,000.

Serikali isipokaza kukusanya Kodi Kwa damu, machozi na jasho Kila siku deni la taifa litakuwa linaongezeka.
Mbongo kodi hataki kulipa halafu jioni unakuta amevimba bar bia za kutosha na kitimoto km chote
 
Haijalishi nimenunua mimi au nani kodi lazima ilipwe!
HOJA iliyopo ni kuwa ,kwanini Utaratibu Ule wa watu wa chini wasio na uwezo hata wa kulipa frame, wenye mabanda kulipa 20,000 Kwa mwaka umefutwa na Kodi hiyo haikusanywi?

Machinga au mtu mwenye Banda kamwe hawezi kulipa Leseni 150,000 na kukadiriwa mapato!!

HOJA Iko hapo!!
 
Back
Top Bottom