Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza acha ukiritimba wa kutosaini mafaili ya watumishi

ARMs

Member
Aug 3, 2021
17
16
Habari ndugu wajumbe?

Mkurugenzi wa jiji la Mwanza amekuwa ni kikwazo kuweza kupitisha malipo ya watumishi wa umma wa jiji la mwanza.

Katika kufuatilia suala la malipo haya nilikuwa najua kuwa kikwazo ni wahasibu lakini ndugu zangu wajumbe Mkurugenzi huyu ni kikwazo sana maana hataki kusaini mafaili ya watumishi hawa hasa walimu.

Faili za watumishi wanaodai stahiki zao mbalimbali zipo ofisini kwake ni zaidi ya wiki mbili sasa lakini kuzisaini inakuwa shida akiulizwa anajibu eti ana kazi nyingi za kufukuzana na wamachinga

Hivyo kwa siku anapitisha faili 10 tu sasa unajiuliza kuna fail zaid ya 600 je mkurugunzi huyu atachukua siku ngapi kumaliza ilhali faili zingine zinaingia ofisini?

Ndg Mkurugenzi wa jiji la mwanza hebu saini hizo faili za malipo ya watumishi wenzako ona aibu basi jua hio ofisi unapita tu.

Kuna watumishj wa jiji hapa mwanza wameshajaza vendor form zaid ya miezi 2 lakini mpka sasa hujazisaini faili zao. Hivi kiukweli kabisa kwa kufanya hivi watumishi watakuwa na ari ya kufanya kazi?

Mkurugenzi malipo hasa likizo ni haki ya watumishi na hupendeza zaid kama malipo haya yatalipwa kwa wakati na si hivyo unavyofanya kama upo bize sana mpe mwngine asaini kwa niaba yako.

Ndg Mkurugenzi angalia kilio cha watu sio kizuri ni laana. Najua uzi huu utausoma nakuufanyia kazi kwa wakati sahihi.

Afadhali alipokuwa Kibamba alikuwa mwepesi kusaini faili but huyu mkurugenzi wa sasa hivi hakuna kitu.

Wasalam.
 
Lazima ajiridhishe na anachokifanya

Nakusii sana Mkurugenzi wa Mwanza jiji hakikisha unafuata misingi ya yote katika kazi zako

Asikutetereshe mtu kesho wewe utaichungulia Jela

Mwanza jiji na Mkurugenzi hoyeeee
 
Duuuh, KIOMON KIBAMBA ALIHAMISHWA??

na Witness alifariki kwa Ajari SIMIYU dutwa

Je BabuKege DEO( CEO) bado ana wala uroda waalimu wa Ke??

Kuna mmama mmoja KAMUHONGA nganza Sec.....!!

mwanza pa kithenge.....!!

NINAYO MENGI ILA MUDA MCHACHE,

but HONGERA ndomondo kutoka Afisa elimu maalum (cheo cha kifala) ila TAMISEMI hapo kapige kazi achana na MIGEHA mwenye Roho ya KINYAMWEZI,
Ungana na SUZ mwenye ROHO YA LISUKUMA.

 
Mbona hujataja jina lake huyo mkurugenzi? Hata hivyo namshauri huyo mkurugenzi ajipime aone kama kweli anaweledi na kasi stahiki kuweza kuongoza jiji la Mwanza.

Yani faili linakaa wiki 2 ofisini kwake bila kufanyiwa kazi! Hiyo ni ofisi au stoo? Mkurugenzi amka, vinginevyo omba poo ili mtu sahihi apewe hiyo nafasi.
 
  • Thanks
Reactions: J C
Yaani madai ya watumishi wote halmashauri apitishe mkurugenzi? mbona kazi sana..........hivi wakuu wa idara halmashauri hawana uwezo wa kuidhinisha malipo!
 
Lazima ajiridhishe na anachokifanya

Nakusii sana Mkurugenzi wa Mwanza jiji hakikisha unafuata misingi ya yote katika kazi zako
Asikutetereshe mtu kesho wewe utaichungulia Jela

Mwanza jiji na Mkurugenzi hoyeeee
Mkuu hapa kilichopo c kujiridhisha la ila madai hasa haya ya likizo yameshahakikiwa kinachofanyika hapa ni kulipwa. Sasa hawawezi lipa mpka aweke saini yake. Hapa ndio mafaili yamekaa tu ofisini kwake.

Mfano kwa walimu wao walijaza vendor form kwa ajili ya malipo ya likizo now ni zaidi ya miez miwili,wengine zaid ya mwezi lakini kulipa bado hawajalipwa ukifuatilia unaambiwa bado mafaili yako kwa mkurugenzi na kweli hata yy anasema anashughuli nyingi!
 
Duuuh, KIOMON KIBAMBA ALIHAMISHWA?

na Witness alifariki kwa Ajari SIMIYU dutwa

Je BabuKege DEO( CEO) bado ana wala uroda waalimu wa Ke?

Kuna mmama mmoja KAMUHONGA nganza Sec!

mwanza pa kithenge!

NINAYO MENGI ILA MUDA MCHACHE,

but HONGERA ndomondo kutoka Afisa elimu maalum (cheo cha kifala) ila TAMISEMI hapo kapige kazi achana na MIGEHA mwenye Roho ya KINYAMWEZI,
Ungana na SUZ mwenye ROHO YA LISUKUMA.

Kiukweli huyu afisa NDOMONDO ni jembe anajitahid sana kufanya kazi. Anajali na anajitolea sana hasa kwa upande wa Elim maalum. Maana anafuatilia sana anawatafuta wafadhili kufadhili rlim maalum pia anajitahid kuandaa semina kws walim wa elim maslum haka kabwana mdogo NDOMONDO kanachapa kazi ile mbaya.

Ila kuna yule mzee muhaya MSHENDWA yeye hajihudishi na chochote hata uafisabrlim maslum kasahsu sasa hv yeye ndio kapewa swala la likizo hasa za walimu. Dah ana roho mbaya huyu mzee bora astasfu tu masna mwakani anastaafu. Watu hawampendi kabisa kwanza hana majib mazur kwa walimu.
 
Mbona hujataja jina lake huyo mkurugenzi? Hata hivyo namshauri huyo mkurugenzi ajipime aone kama kweli anaweledi na kasi stahiki kuweza kuongoza jiji la Mwanza. Yani faili linakaa wiki 2 ofisini kwake bila kufanyiwa kazi! Hiyo ni ofisi au stoo? Mkurugenzi amka, vinginevyo omba poo ili mtu sahihi apewe hiyo nafasi.
Huyu hapa
images.jpg
 
Sema hata akipitisha hayo mafaili serikali imeshafulia siku nyingi.serikali imewadhurumu wajiriwa wake.

Mfano: Mtu alipandishwa cheo toka 2018,kufika 2020 wanamuandikia barua nyingine ya kuifuta ile ya 2018 ma kumpa nyingine inaoanzia 2021.so technically unakuwa umeibiwa na serikali miaka 2
 
Sema hata akipitisha hayo mafaili serikali imeshafulia siku nyingi.serikali imewadhurumu wajiriwa wake.

Mfano: Mtu alipandishwa cheo toka 2018,kufika 2020 wanamuandikia barua nyingine ya kuifuta ile ya 2018 ma kumpa nyingine inaoanzia 2021.so technically unakuwa umeibiwa na serikali miaka 2
Hizi pesa za madai hasz likizo zipo zimeshapitishwa ni swala la kulipwa tu. Yaani kinachotakiwa ni kuidhinishwa tu kwa kusaini mafaili ya watumishi wanaodai .na yapo na wanajulikana.

Kabla ya huyu mkurugenzi kulikuwa na yule bwana kibamba ilikua ukiiywa kujaza vendor form ukaijaza huchukui hata siku 3 pesa waikuta kwa akaunti ila huyu wa sasa amekuwa msumbufu sana maana ni zaidi ya miezi miwili sasa na yupo yupo tu.

Unajua jiji la mwanza maafisa wake ni wazembe sana na hawajali kabisaaa!
 
Yaani madai ya watumishi wote halmashauri apitishe mkurugenzi? mbona kazi sana..........hivi wakuu wa idara halmashauri hawana uwezo wa kuidhinisha malipo!
Kama kazi Ni nzito kwake si ajiuzulu tu aachie wenye uwezo wa kuhimili.
 
Kama kazi Ni nzito kwake si ajiuzulu tu aachie wenye uwezo wa kuhimili.
Wanaachiaga ngazi hao miungu mtu?

Ni mpaka afukuzwe ama lugha ya kistaarabu "atumbuliwe"!

Sasa hivi anaishi kama yupo ndotoni ya usingizini kutokana na heshima ya bandia anayopewa na watu kutokana na ofisi, lakini siku kibatari kikipulizwa ndiyo ngastuka!

Wale "makupe" aliokuwa akiwasema Nyerere sasa ndiyo hawa.
 
Mkurugenzi Saini mafaili ya watu ili walipwe stahili zao kwa wakati, acha kuwafanya watu waichukie serikali yao bila sababu za msingi.
 
Mkurugenzi Saini mafaili ya watu ili walipwe stahili zao kwa wakati, acha kuwafanya watu waichukie serikali yao bila sababu za msingi.
Hapa kilivhopo muhim asaini mafaili na awapush wahasibu walipe haraka maana ni muda sasa. Unashangaa kwa nini hasaini kwa wakat? La kufikirisha zaid ni kuwa fungu lilishatoka hazina wao ni kulipa tu!!!!
 
Duuuh, KIOMON KIBAMBA ALIHAMISHWA??

na Witness alifariki kwa Ajari SIMIYU dutwa

Je BabuKege DEO( CEO) bado ana wala uroda waalimu wa Ke??

Kuna mmama mmoja KAMUHONGA nganza Sec.....!!

mwanza pa kithenge.....!!

NINAYO MENGI ILA MUDA MCHACHE,

but HONGERA ndomondo kutoka Afisa elimu maalum (cheo cha kifala) ila TAMISEMI hapo kapige kazi achana na MIGEHA mwenye Roho ya KINYAMWEZI,
Ungana na SUZ mwenye ROHO YA LISUKUMA.

Duh TAMISEMI kwa majungu mpo fiti
 
"Ndg Mkurugenzi angalia kilio cha watu sio kizuri ni laana. Najua uzi huu utausoma nakuufanyia kazi kwa wakati sahihi."
 
Back
Top Bottom