Twende haraka kwenye mada,
Taarifa zilizotufikia Kutoka vyanzo vya kuaminika zinadai kuwa Hali ni Tete mitaani,
Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza ameanzisha operation ya kuwasaka wote wasio na Leseni Hadi nyakati za usiku.
Ikumbukwe kuwa ,wapo wafanyabiashara wa kipato Cha chini wasio na uwezo wa kulipa lessen ya 80,000/= Hadi 150,000/= Kwa mwaka, wafanyabiashara hao, ni wale wauza chips, wenye vibanda vya kuchoma CD, mabanda ya vinyozi ,mabanda ya mama ntilie, mabanda ya mbogambogank nk nk.
Wafanyabiashara hao WADOGO walikuwa wakilipia 20,000 enzi za Magu bila usumbufu na hawakusumbuliwa na TRA Wala Jiji wakati Ule.
Sasa 20,000 haitambuliki, Jiji wanakamata watu, na ikiwa huna pesa ya fine 150,000/= ni lupango na JELA moja Kwa moja miezi 6.
Vyanzo hivyo vinadai, operation sasa Iko moto wilaya ya Ilemela.
Tafadhalini, Kusanyeni 20,000/= Kwa Wafanyabiashara wadogo kama enzi ya Magu inatosha. Hali ni ngumu.
Ni hayo tu. Karibuni.🙏
Taarifa zilizotufikia Kutoka vyanzo vya kuaminika zinadai kuwa Hali ni Tete mitaani,
Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza ameanzisha operation ya kuwasaka wote wasio na Leseni Hadi nyakati za usiku.
Ikumbukwe kuwa ,wapo wafanyabiashara wa kipato Cha chini wasio na uwezo wa kulipa lessen ya 80,000/= Hadi 150,000/= Kwa mwaka, wafanyabiashara hao, ni wale wauza chips, wenye vibanda vya kuchoma CD, mabanda ya vinyozi ,mabanda ya mama ntilie, mabanda ya mbogambogank nk nk.
Wafanyabiashara hao WADOGO walikuwa wakilipia 20,000 enzi za Magu bila usumbufu na hawakusumbuliwa na TRA Wala Jiji wakati Ule.
Sasa 20,000 haitambuliki, Jiji wanakamata watu, na ikiwa huna pesa ya fine 150,000/= ni lupango na JELA moja Kwa moja miezi 6.
Vyanzo hivyo vinadai, operation sasa Iko moto wilaya ya Ilemela.
Tafadhalini, Kusanyeni 20,000/= Kwa Wafanyabiashara wadogo kama enzi ya Magu inatosha. Hali ni ngumu.
Ni hayo tu. Karibuni.🙏