Barakoa 001
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 5,434
- 14,896
Lindi ni kamkoa kadogo sana.Kumechoka Sana maendeleo hakuna, na idadi ya watu ni ndogo
Yaani ukisimama upande mmoja wa lindi ukarusha jiwe, litadondokea upande mwingine wa lindi.
Lindi ni kamkoa kadogo sana.Kumechoka Sana maendeleo hakuna, na idadi ya watu ni ndogo
Nenda kkoo pale lindi secondary, kule bwenini utalala free boat hutolipa hata mia.Oya Lindi nikalale wapi? Pasiwe pamoto bei.
Huu siyo uzi wa zogo kwahiyo tusizogoe 😂 ila kuna namna hicho kiti hichoooo 😋🤤Binti wa zamani akiona hicho kiti na hiyo meza,atawaza yale mambo ya kunyanduana,utasikia njoo tuzogoe.
😀😀
😀😀Dah mkuu umenikumbusha Moshi technical watu kama hao walikuepo.Nenda kkoo pale lindi secondary, kule bwenini utalala free boat hutolipa hata mia.
Ukiwa mjanja hata ugali utakula.
Pale kuna majamaa yalishaga maliza shule miaka mingii iliyopita ila bado yanaishi pale pale bwenini.
Asubuhi likiamka, wakati nyie wanafunzi mnaenda darasani lenyewe linaingia mtaani kutafuta.
Mengine yanalima mchicha, mengine ni mavuvi.
Mbeya mwaka fulani tuliwahi nunua mazaga mpaka yakaharibikia ndani kwa 10k tu .....mbeya ni green city kweliNiliwahi kaa Isanga kule, kitimoto ya buku mbili jero nilikuwa simalizi. Nyama kibao, ndizi kibao.
Mbeya ukiwa na buku jero unapata wali maharage wa kushiba.
Matunda ya jero. Parachichi ya mia tatu, ndizi mbivu mia mbili nne.
Unatoboa mchana.
Chipsi niliwekewa mzigo nauliza shilling ngap naambiwa buku........nilichokaHatari mbeya ni noma ,nilikuwepo early 2000s ,wali maharage ilikuwa Th 150 ,Kipande cha Kitimoto ilikuwa jero ,ukipiga ya buku inatosha sana....Chips ilikuwa Tsh 100
Huo mji serikali umeusahau sana na sijui wana mpango gan.........hata ivyo tembo beach nilipapenda sanaMusoma ni kugumu miaka nenda rudi pako vile vile
Lindi naifananisha na mikoa ambayo huwa tunaaminishwa ina masikini wakutupwa Dodoma, Singida, Tabora na Simiyu.Unafananisha na mkoa gani bosi? Me naishi kigamboni, huku pweza wa elfu tano huwezi kula na familia lkn pweza wa elfu 5 Lindi ni wakutosha.
The same Kwa samaki kama vibua, changu, tasi n.k pale kariakoo Lindi ni wa kuzoa kama somanga tuu. Kwangu mm ni cheap sana ukilinganisha na feri au Kigamboni nakoishi
Tuliozoea migebhuka wa Tanganyika, ukinitajia vibua nafarijka unakuwa umenifikisha nyumbani.Bei zavitu zimepanda kote mwez huu beverage ziko juu hata hapa dar maji yajero saiv TSH 600 hio soda sehem nying nibei hio ila samak lindi uhakika mi napajua vizur ila inategemea nabamvua kule kibua wabuku unakula unaenjoy
Kila la heri chief, utuwakilishe vizuridah kweli nakubali sana mitaa yangu hiyo ila kwa sasa thanks GOD nimewakimbia kidogo niko ASIA ishaalah 2030
WahiWee em sema kweli?! Nakuja sasa hivi mahi.
lindi aisee lodge za 25000 ni kawaida sana ni lodge ambazo kwa masasi unalala kwa 15000....lindi kidogo upate sehemu safi whitesand na brenford hizo kuanzia 50000 nahisi kama uko vzr..ila za 25k lindi ni za kawaida kbsOya Lindi nikalale wapi? Pasiwe pamoto bei.
Nimepata ya 50k ya kawaida kinoma. Inaitwa Baraka sijui.lindi aisee lodge za 25000 ni kawaida sana ni lodge ambazo kwa masasi unalala kwa 15000....lindi kidogo upate sehemu safi whitesand na brenford hizo kuanzia 50000 nahisi kama uko vzr..ila za 25k lindi ni za kawaida kbs
Hatari huko ,ukienda na mentality za Dar kwenye misosi unaweza ukajaziwa sinia zima ukashindwa kumaliza.Chipsi niliwekewa mzigo nauliza shilling ngap naambiwa buku........nilichoka
Yeah atleast ni kawaida ila Mpya mpya kidogo hainuki ukutaNimepata ya 50k ya kawaida kinoma. Inaitwa Baraka sijui.
Wewe unaishi huko ndiomaana unaona bei kubwa, sisi wapita njia tukilinganisha na maeneo mengine ambayo yanatoa samaki LINDI NI NAFUU MNO.Hivi hizi bei nyie mnazipata wapi?
Au Lindi mnayoijua ninyi sio tunayoijua sisi?
Lindi hadi ndizi ni gharama vibaya sana hao Samaki unaweza kukaa mwezi mzima hujawala kama mshahara wako ni 700k
Embu niambie wapi nitapata hao Ngisi kwa 10k niwafate leo naishi Hospital ya mkoa hapa
Huujui Mkoa wa Lindi wewe.Lindi ni kamkoa kadogo sana.
Yaani ukisimama upande mmoja wa lindi ukarusha jiwe, litadondokea upande mwingine wa lindi.
Unachanganya mambo. Mji wa lindi ndo mdogo sana kama usemavo. Ila mkoa wa lindi kijiografia ni mkubwa munoLindi ni kamkoa kadogo sana.
Yaani ukisimama upande mmoja wa lindi ukarusha jiwe, litadondokea upande mwingine wa lindi.