The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,111
- 117,864
Mkuu huoni kua hapo ni California?
Basi hata lindi ni hivyo hivyo, lindi niliyoiona kwenye TV 2003 ndio hiyohiyo ya 2025.Musoma ni kugumu miaka nenda rudi pako vile vile
Hospital ya Sokoine imehamishiwa Mitwero, na Ile sehem Kwa Sasa ni chuo Cha afya(COTC)Kariakoo hakuna soko la samaki...pale ni ofisi za maji na stendi labda na hospitali ya sokoine ..labda kama unamaanisha fisi...ila bado bei tu vilevile....
😂😂😂Mkuu huoni kua hapo ni California?
Mashujaa wapo offline zaidi ya miezi sita sasaHata siwezi kurecommend sehemu kwa sababu unajua lindi mjini ilivyokaa ni kama uchochoro tu sehemu moja ni hills sehemu moja ni beach kwa hiyo lindi mjini hakuna sehemu utaishia zaidi ya beach tu kuchezea mchanga na kaupepo.....sasa kama ni beach halafu weekdays hakuna vibe umepishana nalo ila chungulia tu makuti beach rahaleo,kisha mashujaa,magereza club labda na paris kidogo night kupata vitu ndo basi muelekeo unabaki wa kwenda MT tu mtwara kidogo machimbo yapoyapo
Hivi hizi bei nyie mnazipata wapi?Lindi samaki bei poa sana, samaki ambae utamnunua maeneo mingine kwa 40k, kwa Lindi utampata kwa 25k.
Huko ukinunua ngisi wa 10k uhitaji kitu kingine zaidi ya maji ya kunywa, Lindi samaki bei nafuu ukilinganisha na maeneo mengine ambayo samaki wanapatikana.
Karibu Mpilipili chief mitaa yangu ya kujidaiPande gani lindi..nimeishi sana kariakoo na mtanda almost 4 years
dah kweli nakubali sana mitaa yangu hiyo ila kwa sasa thanks GOD nimewakimbia kidogo niko ASIA ishaalah 2030Karibu Mpilipili chief mitaa yangu ya kujidai
Karibu Mpilipili chief mitaa yangu ya kujidai
basi aende magroove/GRM tu akapige kitimoto kwa mangiMashujaa wapo offline zaidi ya miezi sita sasa
labda anasemea mchinga huyoHivi hizi bei nyie mnazipata wapi?
Au Lindi mnayoijua ninyi sio tunayoijua sisi?
Lindi hadi ndizi ni gharama vibaya sana hao Samaki unaweza kukaa mwezi mzima hujawala kama mshahara wako ni 700k
Embu niambie wapi nitapata hao Ngisi kwa 10k niwafate leo naishi Hospital ya mkoa hapa
ok,,naujua huo mpango ila sikujua kama ni tayari umetimia maana nimeondoka mwaka jana october na ilikuwa bado inafanya kazi sokoine palepaleHospital ya Sokoine imehamishiwa Mitwero, na Ile sehem Kwa Sasa ni chuo Cha afya(COTC)
Wee em sema kweli?! Nakuja sasa hivi mahi.Karibu Lindi
Madhari ya humu ndani yanavutia haswaa.View attachment 3579891
Sure. 50k hii ingekua Dar Laki.
Majengo ya zamani, sio bara bara ni vichochoro, khaahLindi hata road zile pale town na yale majengo yamechoka aisee.
Binti wa zamani akiona hicho kiti na hiyo meza,atawaza yale mambo ya kunyanduana,utasikia njoo tuzogoe.View attachment 3579891
Sure. 50k hii ingekua Dar Laki.
Ni kweli vile ni chochoro alafu umwinyi mwingi watu wanatembea kizembezembe tuu road.Majengo ya zamani, sio bara bara ni vichochoro, khaah
Haswaa!!Ni kweli vile ni chochoro alafu umwinyi mwingi watu wanatembea kizembezembe tuu road.