Mkoa wa Lindi maisha gharama sana

Mkoa wa Lindi maisha gharama sana

Kumega mkoa hakusaidii chochote, kunaongeza tu ulaji kwa wachache na gharama kwa walipa kodi wengi. Maendeleo ya Katavi ya kawaida sana kama sehemu nyingine zozote zile Tanzania, hakuna kukimbia wala nini, nafikiri tuna standards ndogo sana za maendeleo.

Sawa mkuu. Nimeelewa ufafanuzi wako.
 
Wewe unaishi huko ndiomaana unaona bei kubwa, sisi wapita njia tukilinganisha na maeneo mengine ambayo yanatoa samaki LINDI NI NAFUU MNO.
Okay mpita njia ebu linganisha bei za Samaki za Mtera, Igunga, Babati, Bagamoyo, Msata, nyumba ya Mungu, Bugolora, Nkome, Geita, Chato, Biharamuro, Tabora, Mbagala na za Lindi
 
Back
Top Bottom