Hahahaha kaoshe macho kidogo parisView attachment 3579891
Sure. 50k hii ingekua Dar Laki.
Oya niambie sehemu 10 za kutalii. Kesho natoka Kilwa Masoko nakuja Lindi townKariakoo hakuna soko la samaki...pale ni ofisi za maji na stendi labda na hospitali ya sokoine ..labda kama unamaanisha fisi...ila bado bei tu vilevile....
View attachment 3579891
Sure. 50k hii ingekua Dar Laki.
Ila lindi wilayani sio pabaya sana ni kama vijiji tu vingine vya mikoa mingine...liwale uchumi wao mzuri,,ruangwa majaliwa kaboresha,nachingwea pia inabebwa ma masasi kidogo ...kilwa masoko sio mbaya tatizo ni hapo lindi mjini aseee pachakavu sana yaani maisha magumu sana kuwekeza imagine kuna sehemu pale kariakoo kuna maofisi mengi mataasisi ya maji,shule,chuo,hospitali ila hakuna hata restaurant yenye hadhi nzuri watu kula ni mama ntilie tu wa buku bukuSijui kwanini hawatakagi kuumega huo mkoa kusogeza maendeleo.
Kwanini wasimege kidogo Morogoro, Pwani, Mtwara na Ruvuma papatikane mkoa kuharakisha maendeleo.
Lindi ki jiografia ni kubwa sana kuliko Mtwara, Pwani, Ruvuma a Morogoro.
Hata siwezi kurecommend sehemu kwa sababu unajua lindi mjini ilivyokaa ni kama uchochoro tu sehemu moja ni hills sehemu moja ni beach kwa hiyo lindi mjini hakuna sehemu utaishia zaidi ya beach tu kuchezea mchanga na kaupepo.....sasa kama ni beach halafu weekdays hakuna vibe umepishana nalo ila chungulia tu makuti beach rahaleo,kisha mashujaa,magereza club labda na paris kidogo night kupata vitu ndo basi muelekeo unabaki wa kwenda MT tu mtwara kidogo machimbo yapoyapoOya niambie sehemu 10 za kutalii. Kesho natoka Kilwa Masoko nakuja Lindi town
Tena kesho j3 nimefanya bad timingHata siwezi kurecommend sehemu kwa sababu unajua lindi mjini ilivyokaa ni kama uchochoro tu sehemu moja ni hills sehemu moja ni beach kwa hiyo lindi mjini hakuna sehemu utaishia zaidi ya beach tu kuchezea mchanga na kaupepo.....sasa kama ni beach halafu weekdays hakuna vibe umepishana nalo ila chungulia tu makuti beach rahaleo,kisha mashujaa,magereza club labda na paris kidogo night kupata vitu ndo basi muelekeo unabaki wa kwenda MT tu mtwara kidogo machimbo yapoyapo
Ukimaliza mishe mishe mapema ongeza wese nyosha goti mtwara panaeleweka angalauTena kesho j3 nimefanya bad timing
Mbeya ndiyo chakula bei rahisi.
Hatari mbeya ni noma ,nilikuwepo early 2000s ,wali maharage ilikuwa Th 150 ,Kipande cha Kitimoto ilikuwa jero ,ukipiga ya buku inatosha sana....Chips ilikuwa Tsh 100Niliwahi kaa Isanga kule, kitimoto ya buku mbili jero nilikuwa simalizi. Nyama kibao, ndizi kibao.
Mbeya ukiwa na buku jero unapata wali maharage wa kushiba.
Matunda ya jero. Parachichi ya mia tatu, ndizi mbivu mia mbili nne.
Unatoboa mchana.
Hatari mbeya ni noma ,nilikuwepo early 2000s ,wali maharage ilikuwa Th 150 ,Kipande cha Kitimoto ilikuwa jero ,ukipiga ya buku inatosha sana....Chips ilikuwa Tsh 100Niliwahi kaa Isanga kule, kitimoto ya buku mbili jero nilikuwa simalizi. Nyama kibao, ndizi kibao.
Mbeya ukiwa na buku jero unapata wali maharage wa kushiba.
Matunda ya jero. Parachichi ya mia tatu, ndizi mbivu mia mbili nne.
Unatoboa mchana.
Hatari mbeya ni noma ,nilikuwepo early 2000s ,wali maharage ilikuwa Th 150 ,Kipande cha Kitimoto ilikuwa jero ,ukipiga ya buku inatosha sana....Chips ilikuwa Tsh 100Niliwahi kaa Isanga kule, kitimoto ya buku mbili jero nilikuwa simalizi. Nyama kibao, ndizi kibao.
Mbeya ukiwa na buku jero unapata wali maharage wa kushiba.
Matunda ya jero. Parachichi ya mia tatu, ndizi mbivu mia mbili nne.
Unatoboa mchana.
Musoma ni kugumu miaka nenda rudi pako vile vileHivi kimaendeleo lindi na musoma panafanana au imekaaje wakuu
Sema visamaki,Lindi maisha yako juu sanaLondi mjini ndio hahahaha. Kuna sehemu inaitwa kariakoo kuna kama soko la samaki bei chee sana
Lindi samaki bei poa sana, samaki ambae utamnunua maeneo mingine kwa 40k, kwa Lindi utampata kwa 25k.Hili nakataa Kariakoo ni sehemu nayoijua vizuri sana na nilikuwa hapo mwezi uliopita tu bei za vitu ni ghali sanaaaaaa hakuna kinachopatikana kwa bei rahisi Lindi