Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Yaani hatua ya red flag ni ya mwisho kabisa. Akishindwa anaenda kwa Mzee wa kanisa au mtu yiyote anajua anajielewa waweze kutoa tifauti zao. Najua Kama ni mkristo anaweza nda kanisani na Kama ni muislam anaweza pata msaada Mahala pake pa kuswalia
Hiyo uake bado rahisi mno kudeal nayo, yaani ipo kwenye uwezo wake wala hana haja ya kumtafuta mchungaji.
 
Hilo duka linajitegemea?
kama bado unata hela kwa hilo duka acha
usilipie chochote liache life....halafu utapata majibu

Balabala huo ni mtihani tosha, ukiona Duka linaendelea kushamiri basi ajue anaye mtia jeuri na dhalau ndiye anaye mlipia kila kitu.

Wakati mwingine akili za wenzetu
hawa ni za kiwehu wehu sana - wana sayansi usema wanawake utumia hemisephere zote mbili za ubongo kuchambanua mambo/kufikiri tofauti na wanaume ambao utumia zaidi right hand side ya ubongo.

Sasa sijui kama kutumia kwao pande zote za ubongo kwa mpigo ndiyo uwafanya kudanganyika/changanyikiwa kirahisi any stranger yeyote mradi awe na guts za kuwa kug'ang'anizi atamkubalia kumfanya lolote tu eventually, ndiyo walivyo na hii ni kweli bila kujali kiwango chao cha elimu zao bila kujali kama nwabamke ni: Mzungu,Muhindi,Mwarabu,Mwafrika nk wote wako hivyo hivyo. Ukijua weakness zao hizo utakuwa na amani na kuchukua hatua ukiwa calm kabisa.
 
Ndugu yangu kushinda dukani ni shughuli nzito,kuna siku nilijaribu kukaa dukani toka asubuhi mpaka jioni niliona kazi.Hivyo lazima mkeo awe na uchovu mwingi akirudi jioni.Kuhusu mahesabu lazima ujue Input & Output kwani hizo ni mali zenu wote hivyo hakikisha kila siku/wiki unajua kinachoendelea.Ondoa hisia mbaya kwa Mkeo kwani wengi huwa tunafikiri wanatubania papuchi kiukweli wanachoka kwa pilikapilika za dukani.
 
Wanawake bhana sijui mnakuwaga vipi...hamsomeki kabisaaaa.
 
Ndugu yangu kushinda dukani ni shughuli nzito,kuna siku nilijaribu kukaa dukani toka asubuhi mpaka jioni niliona kazi.Hivyo lazima mkeo awe na uchovu mwingi akirudi jioni.Kuhusu mahesabu lazima ujue Input & Output kwani hizo ni mali zenu wote hivyo hakikisha kila siku/wiki unajua kinachoendelea.Ondoa hisia mbaya kwa Mkeo kwani wengi huwa tunafikiri wanatubania papuchi kiukweli wanachoka kwa pilikapilika za dukani.
Mbona wangu anashinda dukan kila siku na ananipa vizur hamna shida
 
Habari wanajamvi,

Nimeoa miaka 2 iliyopita. Changamoto kubwa niliyonayo ni huyu mwanamke nimemfungulia kaduka. Basi dharau zimezidi hatari, ananijibu anachotaka.

Nikimuuliza mahesabu kuhusu duka hataki kunipa, unyumba mpaka nimbembeleze. Inaweza kupita wiki 2 anatoa visingizio kibao.

Naombeni ushauri wenu.
Kwa maelezo yako ww umeshindwa kummiliki mkeo/unamsikiliza kupita maelezo kabsaa unaandika et mkeo anasema umeanua nguo afu hujakunja asee (what kind man are u???) biashara ya Kwanza ilikufa ilitakiwa uangalie uwezo wake na bora umrudishe shule kuliko kumfungulia tena biashara
 
Ila hapa kuna funzo hutakiwi kukimbilia kuoa tu sshv,miye naona kaa na demu/mchumba bila kumuoa 4 up to 5yrz bila kumuoa utakuwa ushajua kila kitu kumuhusu yeye cyo kukurupuka kuoa tu maana hyo 5yr utakuwa umejua mpk undan wke wote ndg rafiki n.k na tabia zke kiujumla,hapo sasa ndyo unamtangazia ndoa halafu baada ya miaka miwili ndyo unaoa jumla,cjui atakuzingua nn hapo ukimweka ndani sababu kila kitu unakijua kuhusu yy,cyo kukurupuka tuu,ndy madhara yake hayo,nimeongea kimuhemko hapa sababu kuna mdogo wangu yamemkuta haya kukimbilia kuoa kisa umemaliza chuo umepata kikazi kinakuingizia 1m/month bas unataka kuoa

Hawa watu wala hawajijui kuna mzee alikua na mkewe wamezaa na kulea bila ndoa washakuza watoto ndio wakaenda kufunga ndoa .

Baada ya ndoa mama kaanza visa akaondoka mwenyewe .
 
Habari wanajamvi,

Nimeoa miaka 2 iliyopita. Changamoto kubwa niliyonayo ni huyu mwanamke nimemfungulia kaduka. Basi dharau zimezidi hatari, ananijibu anachotaka.

Nikimuuliza mahesabu kuhusu duka hataki kunipa, unyumba mpaka nimbembeleze. Inaweza kupita wiki 2 anatoa visingizio kibao.

Naombeni ushauri wenu.

POLE AISEE, KAMA KWELI AMEANZA BAADA YA KUWA NA DUKA FANYA UTAFITI, KUNA MTU LABDA ANA MAHUSIANO NAYE, SIAMINI SANA KWAMBA MWANAMKE ANAYEKAA NA MUME ANAWEZA AWE ANAMKATAA MME KIUNYUMBA KILA MARA NA YEYE HANA MAHUSIANO MENGINE
 
Pole mkuu, piga mimba huyo, by the way mimi siwezi kulala na mke wangu zaidi ya siku tatu bila kula tamu yake isipokuwa tu kuwe na hali ya kuumwa, siku zake, au safarini, ujauzito na sababu za msingi sana nyinginezo
 
Ila hapa kuna funzo hutakiwi kukimbilia kuoa tu sshv,miye naona kaa na demu/mchumba bila kumuoa 4 up to 5yrz bila kumuoa utakuwa ushajua kila kitu kumuhusu yeye cyo kukurupuka kuoa tu maana hyo 5yr utakuwa umejua mpk undan wke wote ndg rafiki n.k na tabia zke kiujumla,hapo sasa ndyo unamtangazia ndoa halafu baada ya miaka miwili ndyo unaoa jumla,cjui atakuzingua nn hapo ukimweka ndani sababu kila kitu unakijua kuhusu yy,cyo kukurupuka tuu,ndy madhara yake hayo,nimeongea kimuhemko hapa sababu kuna mdogo wangu yamemkuta haya kukimbilia kuoa kisa umemaliza chuo umepata kikazi kinakuingizia 1m/month bas unataka kuoa
Heko Mkuu, huko mwisho umemaliza vzr sana
 
Back
Top Bottom