Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,854
Mambo kama haya yalimkuta Anko wangu mke alipewa uhuru duka kubwa, anafunga mzigo mwenyewe akapewa hadi usafiri akaanza dharau akadanganyika pa dogo tu kudate na kakijana naona kalikuwa kanamkaza vizuri akakimbia hadi nyumba na kusepa na M 19 za kufungia mali kwa kujua atamkomoa mumewe.
lakini Anko kwa vile nae alikuwa na mishe zake nyingine ikabidi achukue fedha ya huku kupeleka kwenye duka ili apush japo hakuwa vizuri kichwani mana alichanganywa sana na tabia ya mkewe ila kwa vile mwanamume ikabidi akomae,baada ya miezi 7 Mkewe kaishiwa anataka kurudi jamaa akafunga vioo mke kachoka hadi huruma..
Anko ye bize na wanaye na biashara zake ila ana ka bimdogo kanamliwaza na maisha yanasonga.
Ushauri; hata huyo wako kama ni jeuri we mwache akomae mwenyewe usimsaidie tena we fanya mambo yako
lakini Anko kwa vile nae alikuwa na mishe zake nyingine ikabidi achukue fedha ya huku kupeleka kwenye duka ili apush japo hakuwa vizuri kichwani mana alichanganywa sana na tabia ya mkewe ila kwa vile mwanamume ikabidi akomae,baada ya miezi 7 Mkewe kaishiwa anataka kurudi jamaa akafunga vioo mke kachoka hadi huruma..
Anko ye bize na wanaye na biashara zake ila ana ka bimdogo kanamliwaza na maisha yanasonga.
Ushauri; hata huyo wako kama ni jeuri we mwache akomae mwenyewe usimsaidie tena we fanya mambo yako