Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

mzee wa ngada

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
693
Reaction score
293
Habari wanajamvi,

Nimeoa miaka 2 iliyopita. Changamoto kubwa niliyonayo ni huyu mwanamke nimemfungulia kaduka. Basi dharau zimezidi hatari, ananijibu anachotaka.

Nikimuuliza mahesabu kuhusu duka hataki kunipa, unyumba mpaka nimbembeleze. Inaweza kupita wiki 2 anatoa visingizio kibao.

Naombeni ushauri wenu.

Mada hii imetumika kwenye Kipindi cha JamiiLeo kinachorushwa kila siku jioni katika Channel ya JamiiForums kwenye mtandao wa Youtube.

Kuona kipindi hicho angalia video ifuatayo:

 
Muhimu ni kumnyoosha kwa kutompa pesa kuzidi kuendeleza duka hilo, acha life ajitambue.

Pia kuwa na duka lazima anakutana na wateja na wanaume wanampa bichwa la maneno anayoambiwa.

Pole kama hana kazi ya kuajiliwa muache akae akipata shida then akae nyumbani, fungua biashara ingine wewe.
 
Kuwa mpole kaka wala usipaniki utayaona mengi kamasio mtu wakubadilika pia wanawake wengi wakipata pesa ujifanya vichwa ngumu mpe muda usio pungua mwaka asipate kisingizio....
 
Back
Top Bottom