SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,336
- 4,693
No usiwaze kuacha kwanza!
Anza kumpotezea kabisa kuwa busy na mambo yako,usimpe chochote, usimuulize chochote uwe kuhusu duka wala nn,yaani piga kimya,ukitoka job ikiwezekana usirudi hom mapema na ukfika home busy unaoga unalala hakuna kumuuliza chochote!usitoe hela yako tena kuweka huko kwny duka,familia aihudumie yy,akikuomba hela mwambie huna achukue dukani!
Akikuuliza unajibu alichouliza basi,no story no kumbembeleza!
Utakuja kutuambia hapa km ataendelea ,unless ana kinachompa kiburi.
Mi mwanamke!
Najua lzm atajua umepata mchepuko ndo maana humjali,ila usiwe na mchepuko pls!
Sikilizia ss!
Na akianza kujifanya anakua mpole unajikaza mpk akili imkae sawa heshima irudi ajue we ni kichwa!
Pumbavu kabisa!
Hichi ulichokisema nimekikubali sana.It is a tested and proved tactic!It works much.