Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,669
- 12,043
kumbe unajua eeh?Khaaaaah!! Naanzaje kwa mfano, si nitambaka!!
sasa unavotaka mwenzako ataabike je?
kumbe unajua eeh?Khaaaaah!! Naanzaje kwa mfano, si nitambaka!!
Ana ka bi mdogo kanamliwaza hawezi funga ndoa tena si unajua imani zetu za kikristo hizi..ila alitingwa sana kipindi mkewe yupo juu maana akiambiwa hiki hasikii ila sasa ni zamu yake anajuta hadi huruma huwezi amini kama ni mtu ambaye alikuwa hana shida yoyote usafiri,nyumba,duka vipo na aliruhusiwa kufungua kitega uchumi chochote ambacho kingewaingizia pesa sababu Anko ye alikuwa anadili na mambo yake mengine so mke akawa huru ila masikini ya mungu kijana wamjini baada ya kumuonjesha tamu Anti akachanganyikiwa japo Anko alikuwa anajua lakini alibaki kimya akajua labda mwenzie alipitiwa ila kumbe mwenzie aliona haitoshi akaamua akimbie familia kabisa(kama alivyofanya Lipumba) baada ya muda anarudi anataka kuwa mke halali kwa mara nyingineDuh
Hivi kwann jmn!
Akome tu kwakweli!
Mwambie anko aoe tu ss!
sasa ndo ubaniwe wiki mbili tena mnalala kitanda kimoja!!Demu wangu ananijua mi huwa sipendagi ujinga mimi, wala sijaribiwi, yaani nikimwambia tu njoo au nakuja ananiambia njoo maana anajua nataka nini na kama yupo kwenye siku zake yupo radhi kunionyesha, SIPENDI UJINGA KABISAAAA
Nifanyeje kaka.!Kumbe hili jipu unalijua vizuri, hukulitumbua vizuri mwanzo so limehamia kwingine. Jipu ukilichekea linakuumbua.
Nimeshaapa nikiacha sioi hadi kufa kwanguNa hili ndo linaniuma mimi!
Hiyo ngumu.!Mkuu, una mawe ya kutosha kama mimi? kama jibu ni ndiyo basi ondoka hapo nyumbani, mwache aishi maisha aliyoyachagua, ikiwezekang asipajue hata ulipo, ushauri tu lakini, akili za kuambiwa..
Ndo nn?Leka...
Duh...Mwache tu mbona mi nilimwachia Mpaka na nyumba lakini Leo namzidi kila kitu na anakuja kujumua kwangu tena kwa bei juu yeye akiamini mimi siwezi kumwibia,,
Yaani umejua kunichekesha leo!Wanawake wanajijua wao tuu. Ukijipendekeza sana shida, ukikaa mita mia mbili shida, ukikaba sana shida. Ili mradi hawaeleweki. Unaweza shinda ndani asikusalimie. Ukinyanyua tu mguu kwenda hapo jirani kwenye grocery ya Mangi sim kila baada ya dkk tano. Uko wapi,uko na nani, tule tukusubiri, utakunywa chai...heee. Ukirudi home keshavuta domo.
[emoji13] eti km lipumba!Ana ka bi mdogo kanamliwaza hawezi funga ndoa tena si unajua imani zetu za kikristo hizi..ila alitingwa sana kipindi mkewe yupo juu maana akiambiwa hiki hasikii ila sasa ni zamu yake anajuta hadi huruma huwezi amini kama ni mtu ambaye alikuwa hana shida yoyote usafiri,nyumba,duka vipo na aliruhusiwa kufungua kitega uchumi chochote ambacho kingewaingizia pesa sababu Anko ye alikuwa anadili na mambo yake mengine so mke akawa huru ila masikini ya mungu kijana wamjini baada ya kumuonjesha tamu Anti akachanganyikiwa japo Anko alikuwa anajua lakini alibaki kimya akajua labda mwenzie alipitiwa ila kumbe mwenzie aliona haitoshi akaamua akimbie familia kabisa(kama alivyofanya Lipumba) baada ya muda anarudi anataka kuwa mke halali kwa mara nyingine
No usiwaze kuacha kwanza!Nimeshaapa nikiacha sioi hadi kufa kwangu
[emoji15] ss anategemea unapata wapi na wanaume msivyoweza kuvumilia!?Kuna kipindi hadi mwezi..