Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Kwa maelezo yako ww umeshindwa kummiliki mkeo/unamsikiliza kupita maelezo kabsaa unaandika et mkeo anasema umeanua nguo afu hujakunja asee (what kind man are u???) biashara ya Kwanza ilikufa ilitakiwa uangalie uwezo wake na bora umrudishe shule kuliko kumfungulia tena biashara
Tena mbaya zaidi business ya 2 niliuza kagaro kangu pendwa sana. Nikasema bora niungane na wananchi kujenga uchumi..
 
Habari wanajamvi,

Nimeoa miaka 2 iliyopita. Changamoto kubwa niliyonayo ni huyu mwanamke nimemfungulia kaduka. Basi dharau zimezidi hatari, ananijibu anachotaka.

Nikimuuliza mahesabu kuhusu duka hataki kunipa, unyumba mpaka nimbembeleze. Inaweza kupita wiki 2 anatoa visingizio kibao.

Naombeni ushauri wenu.
nyani amelirudia poli lake la asili
 
Kwanini usimuwekee vikwazo vya kiuchumi mkuu?? Uchumi wake udolole na thamani ya shiling yake ishuke sana, lazima anyooke tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji23] [emoji23]
 
Pole sana mkuu ! Wanawake wengi wanatabia hizo cha kufanya wewe fanya shughuli zako za kila siku na usimtegemee kwa mabo yako
 
Habari wanajamvi,

Nimeoa miaka 2 iliyopita. Changamoto kubwa niliyonayo ni huyu mwanamke nimemfungulia kaduka. Basi dharau zimezidi hatari, ananijibu anachotaka.

Nikimuuliza mahesabu kuhusu duka hataki kunipa, unyumba mpaka nimbembeleze. Inaweza kupita wiki 2 anatoa visingizio kibao.

Naombeni ushauri wenu.

Wewe ni mwanaume komaaa
 
Habari wanajamvi,

Nimeoa miaka 2 iliyopita. Changamoto kubwa niliyonayo ni huyu mwanamke nimemfungulia kaduka. Basi dharau zimezidi hatari, ananijibu anachotaka.

Nikimuuliza mahesabu kuhusu duka hataki kunipa, unyumba mpaka nimbembeleze. Inaweza kupita wiki 2 anatoa visingizio kibao.

Naombeni ushauri wenu.
Upesi umrudishe jini kwenye chupa yake
 
Hahaaaa, kaka acha duka lijifie,,,,yaani ukitaka life vizuri wewe samehe hata mauzo usimuulize,,,
 
Funga hilo duka akae nyumbani kama zamani.Mwishoni utakujashtukia keshajijengea nyumba alafu anakuachia manyoya kiroho Mbaya.
 
Back
Top Bottom