Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Hahaaaa, kaka acha duka lijifie,,,,yaani ukitaka life vizuri wewe samehe hata mauzo usimuulize,,,
*Nimechukua hatua ya kwanza kwamba duka lijitegemee kuanzia kulipa Umeme kodi,hela ya kula mchana. Mi ntawajibika na masuala ya nyumbani tu. Nilivyomwambia analeta,eti wachaga hawatoi hata 100 kwa ajili ya kula,kumuhudumia mtoto na kumlipa msichana wa kazi.*
 
Usifilisi duka wala nini, we kalifunge na funguo baki nazo. Na umwambie mpaka hapo atakapojirekebisha utamrudishia.
 
Funga duka, ikiwezekana liuze lote jumla jumla.. Ashike adabu yake
 
Mtoe dukani weka kijana afanye kazi chini yako
 
Habari wanajamvi,

Nimeoa miaka 2 iliyopita. Changamoto kubwa niliyonayo ni huyu mwanamke nimemfungulia kaduka. Basi dharau zimezidi hatari, ananijibu anachotaka.

Nikimuuliza mahesabu kuhusu duka hataki kunipa, unyumba mpaka nimbembeleze. Inaweza kupita wiki 2 anatoa visingizio kibao.

Naombeni ushauri wenu.
Imeandikwa "Ninyi waume kaeni na wake zenu kwa akili na kumpa mke heshima kama chombo kisicho na nguvu"hayo ni maneno ya Mungu 1Petro.3:7
 
*Nimechukua hatua ya kwanza kwamba duka lijitegemee kuanzia kulipa Umeme kodi,hela ya kula mchana. Mi ntawajibika na masuala ya nyumbani tu. Nilivyomwambia analeta,eti wachaga hawatoi hata 100 kwa ajili ya kula,kumuhudumia mtoto na kumlipa msichana wa kazi.*
Ndo manaake ss hiyo faida utajuaje km kila kitu unalipa out of bness?

Mwambie km hawezi aache,tafuta kijana umlipe,atakaekua anakupa mahesabu na kila kitu

Halafu sijaelewa hapo eti wachaga nn?
 
Huenda duka ulilifungua kwa shinikizo la mkeo, kwahyo tabia hiyo hiyo ya mashinikizo anaendelea nayo kukufanya wewe ufate anachotaka yeye. Mimi naamini katika USULUHISHI kwanza ila baadae ikishindikana natumia NGUVU. Tafuta suluhu asipojirekebisha funga duka haraka, akae home, hakikisha anakupa pendo la kutosha.
 
*Nimechukua hatua ya kwanza kwamba duka lijitegemee kuanzia kulipa Umeme kodi,hela ya kula mchana. Mi ntawajibika na masuala ya nyumbani tu. Nilivyomwambia analeta,eti wachaga hawatoi hata 100 kwa ajili ya kula,kumuhudumia mtoto na kumlipa msichana wa kazi.*
Mi ntawajibika masuala ya nyumbani,sitawajibika kwa suala lolote kuhusu duka kuanzia kodi,kula mchana,Umeme n.k Yeye anasema wachaga wakiwa wanauza duka au biashara yoyote. Hawali chakula ili msingi ukue. Nikamwambia huo ndo msimamo wangu.
 
Back
Top Bottom