Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

mahesabu ya nini wakati ulimfungulia???
 
Mambo kama haya yalimkuta Anko wangu mke alipewa uhuru duka kubwa, anafunga mzigo mwenyewe akapewa hadi usafiri akaanza dharau akadanganyika pa dogo tu kudate na kakijana naona kalikuwa kanamkaza vizuri akakimbia hadi nyumba na kusepa na M 19 za kufungia mali kwa kujua atamkomoa mumewe..lakini Anko kwa vile nae alikuwa na mishe zake nyingine ikabidi achukue fedha ya huku kupeleka kwenye duka ili apush japo hakuwa vizuri kichwani mana alichanganywa sana na tabia ya mkewe ila kwa vile mwanamume ikabidi akomae,baada ya miezi 7 Mkewe kaishiwa anataka kurudi jamaa akafunga vioo mke kachoka hadi huruma..Anko ye bize na wanaye na biashara zake ila ana ka bimdogo kanamliwaza na maisha yanasonga.
Ushauri; hata huyo wako kama ni jeuri we mwache akomae mwenyewe usimsaidie tena we fanya mambo yako
Hii inanikumbusha historia ya jamaa mmoja, sikuzileee tulimuita Texas ambae kwasasa ni tajiri flani hivi mwanza.
Alikua na mkewe safi kabisaaaa, alimfungulia duka la vifaa vya ujenzi paleeeee buzuruga kwenye kona, na.... akawa amemjengea mjengo wa kawaida kuleeeee miti mrefu juuu.... kama umenyooka kutokea Mteja B.
Ebu naomba nisiyaseme yalio tokea, lakini jamaa alipo gundua..... Alihama kutoka kwenye nyumba ileeeee alokua kamjengea mkewe na wanawe kwa raha zote.
Texas alihamia kuleeeee buswelu kama sija kosea, akamuacha mke aendelee kuchapwa nao.
Mwisho wa siku katika pita pita, nikakutana na yule mwanamke akitaabika hukoooo machimboni nyakagwe, tena alikua akiuza pale kati.
Kiukweli alitia huruma sana.....
Agghhhh.......[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Ebu ngoja niishie hapa, maana naona giza limeanza kutamalaki na usiku umekua mkubwa...[emoji99] [emoji99]
 
Mke hana tatizo mzima kabisa wa afya, mume akiomba papuchi mke anatafuta visingizio. Wiki mbili nyingi sana bhanaaa njemba itaishia kutafuta mchepuko lol!
Nna mtihani sana..!
 
Umeona eeh! Halafu mbaya zaidi jamaa anaomba mke anamrusha. Unalala na mke ukimgusa mkali kama pilipili kichaa lol!

Hahahaaaaa!! Kumbe zina balaa eeeh!![emoji85] [emoji85] [emoji85]

Wiki4 pia bado sio sababu, labda jamaa ndio tatizo.
 
Atampangia ratiba kbs ya kulala naye
Kwa akili hizo za mkewe huko ndio atafundishwa uduwanzi zaidi, hizi salon acha kabisa, yaani inatakiwa awe anajitambua sana lasivyo ndio hivyo tena!!

Huyu hajitambui tu, so hata amuweke wapi kama ni wa hivyo ni wa hivyo tu, unless aamue mwenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Usawa mwenyewe wa braza Magufuli. Acha Masihara. No nipe ushauri mwingine mkuu.
Kwajinsi ulivyo jibu hapa.....
Nachelea kusema kwamba mkeo bado unampenda kwa dhati, na hauonekani kama unaumizwa na haya yanayo jiri. Nahisi umekuja kupunguza msongo kwa kuutua mzigo wa hili linalo kusibu ndani ya nyumba yako.
Sasaaaa........
Ebu fanya maamuzi na kisha kitakacho jiri, ndipo ukuje utuambie na hapo ndipo tutakapo anzia kukushauri
 
Mwache tu mbona mi nilimwachia Mpaka na nyumba lakini Leo namzidi kila kitu na anakuja kujumua kwangu tena kwa bei juu yeye akiamini mimi siwezi kumwibia,,
 
Mambo kama haya yalimkuta Anko wangu mke alipewa uhuru duka kubwa, anafunga mzigo mwenyewe akapewa hadi usafiri akaanza dharau akadanganyika pa dogo tu kudate na kakijana naona kalikuwa kanamkaza vizuri akakimbia hadi nyumba na kusepa na M 19 za kufungia mali kwa kujua atamkomoa mumewe..lakini Anko kwa vile nae alikuwa na mishe zake nyingine ikabidi achukue fedha ya huku kupeleka kwenye duka ili apush japo hakuwa vizuri kichwani mana alichanganywa sana na tabia ya mkewe ila kwa vile mwanamume ikabidi akomae,baada ya miezi 7 Mkewe kaishiwa anataka kurudi jamaa akafunga vioo mke kachoka hadi huruma..Anko ye bize na wanaye na biashara zake ila ana ka bimdogo kanamliwaza na maisha yanasonga.
Ushauri; hata huyo wako kama ni jeuri we mwache akomae mwenyewe usimsaidie tena we fanya mambo yako
Huu USHAURI NAFIKIR UTAMSAIDIA KUFUMBUA FUMBO LAKE COZ WOTE WAPO HIVYO HIVYO
 
Wanawake huwa tuna njia za ajabu ajabu sana za kufikisha ujumbe, wakae chini wazungumze vizuri kwa upendo, wapembue palipoharibika warekebishe then wasonge mbele.
Hii ni biashara ya pili,ya kwanza hivyo hivyo ujanja ujanja wake ikafa. Sasa hii imenicost zaidi ya Mil 6 mpaka imetulia. Halafu analeta za kuleta.
 
Mambo kama haya yalimkuta Anko wangu mke alipewa uhuru duka kubwa, anafunga mzigo mwenyewe akapewa hadi usafiri akaanza dharau akadanganyika pa dogo tu kudate na kakijana naona kalikuwa kanamkaza vizuri akakimbia hadi nyumba na kusepa na M 19 za kufungia mali kwa kujua atamkomoa mumewe..lakini Anko kwa vile nae alikuwa na mishe zake nyingine ikabidi achukue fedha ya huku kupeleka kwenye duka ili apush japo hakuwa vizuri kichwani mana alichanganywa sana na tabia ya mkewe ila kwa vile mwanamume ikabidi akomae,baada ya miezi 7 Mkewe kaishiwa anataka kurudi jamaa akafunga vioo mke kachoka hadi huruma..Anko ye bize na wanaye na biashara zake ila ana ka bimdogo kanamliwaza na maisha yanasonga.
Ushauri; hata huyo wako kama ni jeuri we mwache akomae mwenyewe usimsaidie tena we fanya mambo yako
Duh
Hivi kwann jmn!
Akome tu kwakweli!
Mwambie anko aoe tu ss!
 
Back
Top Bottom