Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

PANDISHA MASHETANI USEME SITAKI DUKAAAAA........ILA MWANAUME NDIO FINAL SAY HUSUSAN NI MKE WA NDOA KWA NN DUKA LIKUPOTEZEE MALENGO YAKO MWAMBIE UNAWEKA MFANYA KAZI ASIJIHUSISHE NALO TENA
 
POle sna mkuu wanawake wengi ndyo walivvyo.hapo chakufanya jitoe taratibu ktk kuzamini hyo duka ikiwezekana fanya namna yeyote ile ife hyo duka huku ukimwonyesha upendo wahali xa juu bila yy kujua dhamira yako.kushutukia duka kwisha nayy yupo home akiwapikia watoto.
 
POle sna mkuu wanawake wengi ndyo walivvyo.hapo chakufanya jitoe taratibu ktk kuzamini hyo duka ikiwezekana fanya namna yeyote ile ife hyo duka huku ukimwonyesha upendo wahali xa juu bila yy kujua dhamira yako.kushutukia duka kwisha nayy yupo home akiwapikia watoto.
 
[emoji13] eti km lipumba!

Hayo ndo madhara ya zinaa!
Zinaa ikishaingia kwny ndoa trust mi kila kitu kinakufa!

Uchumi unayumba yaani kila kitu!
Na ndo shida wana ndoa wengi hawajajua,zinaa ni mbaya!

Uko vzuri mrembo,,,daima ikimbie zinaa,hata kama u maskini utakuwa na guarantee ya kufanikiwa
 
Back
Top Bottom