BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
atoto ukiona jamaa mpaka kayaleta huku ujue yameshamshinda. Kajaribu kuwa muungwana na mstaarabu bila mafanikio. Mke kibri kwa sana na papuchi anabania wiki mbili njemba inang'aa macho tu. Hebu niambie afanye lipi ili kuinusuru ndoa yao!?
We hebu wacha bwana!