Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Pesa ni chanzo kiukubwa sana cha magomvi katika mahusiano,hasa ukute kuna mmoja anaijua kuliko mwingine ni shida.
 
kaka nenda kafunge tu hilo duka. wala usihangaike naye. lifunge duka na funguo meza kabisa . atanyoosha mikono juu hata kama alijifanya shujaa. jeuri ndugu yake kusudi. we mfanyie kusudi tu.
 
Habari wanajamvi,

Nimeoa miaka 2 iliyopita. Changamoto kubwa niliyonayo ni huyu mwanamke nimemfungulia kaduka. Basi dharau zimezidi hatari, ananijibu anachotaka.

Nikimuuliza mahesabu kuhusu duka hataki kunipa, unyumba mpaka nimbembeleze. Inaweza kupita wiki 2 anatoa visingizio kibao.

Naombeni ushauri wenu.
Huyo mkeo ulimchukua au ulipewa?
 
Habari wanajamvi,

Nimeoa miaka 2 iliyopita. Changamoto kubwa niliyonayo ni huyu mwanamke nimemfungulia kaduka. Basi dharau zimezidi hatari, ananijibu anachotaka.

Nikimuuliza mahesabu kuhusu duka hataki kunipa, unyumba mpaka nimbembeleze. Inaweza kupita wiki 2 anatoa visingizio kibao.

Naombeni ushauri wenu.
Mkuu tujuze
1.Ulipewa mke
2.Ulichukua mke
3.Ulisogeza mke
???
??????
 
Ww umeoa? au unamahusiano ya kudumu?
Hujawahi kuwa single kwa zaid ya miez6?
Na kama ulikuwa kuwa single ulikuwa unapata wapi papuchi? Au unanunua malaya?
Kwahiyo hamuwezi kuishi kabisaaa bila papuchi?
 
Ww umeoa? au unamahusiano ya kudumu?
Hujawahi kuwa single kwa zaid ya miez6?
Na kama ulikuwa kuwa single ulikuwa unapata wapi papuchi? Au unanunua malaya?
Kipindi Niko msela nilikaa miezi 12 bila papucho baada ya kukutana na majanga zaidi ya Snura.
 
Kuna kitu hakiko sawa Sana Sana upande wako. Hivi inakuaje unaanzisha biashara nyingine wakati ya kwanza alifeli.. Na kwa kuuza usafiri?
Nipo kwenye tathmini ya mwenendo wangu na maamuzi yangu then nijipange kivingine hii sasa ishakuwa tatizo kwa upande wangu. Mrejesho ntauleta kwa wakati.
 
Back
Top Bottom