mzee wa ngada
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 693
- 293
- Thread starter
- #241
Hapana. Simnunulii...Mnunulie na Gari kabisaa mkuu
Hapana. Simnunulii...Mnunulie na Gari kabisaa mkuu
Cha msingi mwambie akusanye mauzo ili ukamfungie mzigo mwingine na kumwongezea zingine. Akifanya hivo hakika mzigo dukani utapungua kwa kiasi kikubwa na mauzo yote akupe, then nunua kitu ambacho kitakuwa cha muhimu kwa familia.Habari wanajamvi,
Nimeoa miaka 2 iliyopita. Changamoto kubwa niliyonayo ni huyu mwanamke nimemfungulia kaduka. Basi dharau zimezidi hatari, ananijibu anachotaka.
Nikimuuliza mahesabu kuhusu duka hataki kunipa, unyumba mpaka nimbembeleze. Inaweza kupita wiki 2 anatoa visingizio kibao.
Naombeni ushauri wenu.
Asante kwa ushauri..!Cha msingi mwambie akusanye mauzo ili ukamfungie mzigo mwingine na kumwongezea zingine. Akifanya hivo hakika mzigo dukani utapungua kwa kiasi kikubwa na mauzo yote akupe, then nunua kitu ambacho kitakuwa cha muhimu kwa familia.
Hogo lina nyumba yake ...unadhani litachimba wp!Kwahiyo hamuwezi kuishi kabisaaa bila papuchi?
Duka halitokufa kamwe,tayari keshapata mabuzi yanagharamia,huyo bwana atafute mke mwingine,.,.,.,...perioooood.Muhimu ni kumnyoosha kwa kutompa pesa kuzidi kuendeleza duka hilo, acha life ajitambue.
Pia kuwa na duka lazima anakutana na wateja na wanaume wanampa bichwa la maneno anayoambiwa.
Pole kama hana kazi ya kuajiliwa muache akae akipata shida then akae nyumbani, fungua biashara ingine wewe.
Wajuze kwanza waliokupa ili baadae ukichukua maamuzi wasikunange.Nilipewa..
Ooosh, samahani mkuuMbona unanishauri mimi? Kwani mimi ndie mwenye mke?
Kuna uhaba wa ARVs nchini jamaniPole sana mkuu. ...huyo dawa yake ni kumtafutia msaidizi tu alafu nawewe miezi ya kutosha bila kumuomba utamu. .....endelea kumuonyesha sura ya furaha tu kama kawaida......mambo yako yote unamaliza kwa msaidizi wake asikupasue kichwa hawa watu ni wahivihivi. ....Ponda Mali kufa kwaja.....
Nimekusanya mauzo ya mwezi mzima nikamwambia ntamnunulia mzigom nimeenda kuweka bank,amenyooka. Nakula vyangu kiulani..Cha msingi mwambie akusanye mauzo ili ukamfungie mzigo mwingine na kumwongezea zingine. Akifanya hivo hakika mzigo dukani utapungua kwa kiasi kikubwa na mauzo yote akupe, then nunua kitu ambacho kitakuwa cha muhimu kwa familia.