IronBroom
JF-Expert Member
- Jun 12, 2008
- 521
- 36
mke wa mtu ndo mwenyewe kaka!
uzuri wa mke wa mtu YUPO FREE SANA KWENYE HUDUMA TAKATIFU!tofauti na kidem chochote cha kitaa.mke wa mtu hakusumbui kuvua nguo wala KUJIACHIA MKIWA OLD-TRAFFORD!
yaani SHWAAAAAAAAAAAAAAAAAARI HAMNA SHARI.utakula vitu kwa nafasi bila migogoro ukimaliza huyooooo?tena anaweza akakutoa na mikwanja
Najipa mamlaka ya kukulaani kwa kuiba mke wa mtu,kufanya naye mapenzi na kushare experience yako bila kujuta.SIO UUNGWANA HATA KIDOGO.