Niambie Tu
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 259
- 650
Habari.
Mimi na mke wangu Tumeanza kuishi pamoja tangu 2022 ila kuna changamoto niliziona tangu mpaka leo sijawahi kuona zikibadilika zaidi ya mimi kuwa maskini wa kutupwa.
Mke sio mpenzi wa tendo mara nyingi mimi ndo nimekuwa nikimuanzishia hili suala na nilipambana kufuatilia Hospitali alionekana ana uvimbe akafanyiwa operation ila bado mpaka sasa mimi ndo kama nina uhitaji mkubwa na hili Tendo.
Kingine sio mtu wa furaha wala Amani nyumba yangu tunaishi kama tuko msibani sio mtu wa furaha hayuko romantic wala nimejitahidi sana ila hajabadilika.
Najiuliza je kwa hali hii Tuishia wapi hajafika miaka 30.
Mimi na mke wangu Tumeanza kuishi pamoja tangu 2022 ila kuna changamoto niliziona tangu mpaka leo sijawahi kuona zikibadilika zaidi ya mimi kuwa maskini wa kutupwa.
Mke sio mpenzi wa tendo mara nyingi mimi ndo nimekuwa nikimuanzishia hili suala na nilipambana kufuatilia Hospitali alionekana ana uvimbe akafanyiwa operation ila bado mpaka sasa mimi ndo kama nina uhitaji mkubwa na hili Tendo.
Kingine sio mtu wa furaha wala Amani nyumba yangu tunaishi kama tuko msibani sio mtu wa furaha hayuko romantic wala nimejitahidi sana ila hajabadilika.
Najiuliza je kwa hali hii Tuishia wapi hajafika miaka 30.