Tuma salam )Kuna story sijui Kigoma jamaa alipanda mke wa jamaa akaonywa hakusikia...alikuwa akikojoa dagaaa....sijui kama ni kweli! Binafsi sitaki wala kutamani mke wa mtu...
to hell with him. na bado angemuotesha na matiti kabisa huyu. I have this type of people. Shauri yake wala sima cha kushauri hapa
...Baadae majira ya saa 5 ya usiku mtu wa karibu na mwanamke huyo alisema kuwa watu hao waliweza kuachiana na tukio hilo la ajabu na la mwaka lilitokea jana majira ya saa 12:45 jioni huko maeneo Tandale katika nyumba ya kulala wageni iitwayo Hans Gest.
Hi..
Tokea zamani kuna msemo kwamba mke wa mtu ni mtamu...Je kuna ukweli katika Jambo hilo? Kama ni kweli, ni kwa vipi anatofautiana na mamsap?