BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
na mi nimeshangaaa ila bora i see manake hayo mathread yanayopostiwa kwenye wall mida hii kha!BHALEGHE tupu!leo umezifumua thread za miaka 47.......ni nini...?
Hi..
Tokea zamani kuna msemo kwamba mke wa mtu ni mtamu...Je kuna ukweli katika Jambo hilo? Kama ni kweli, ni kwa vipi anatofautiana na mamsap?
...labda tofauti yake ni 'Caps' K, na 'lower-case' k...
mke wa mtu sumu ingawa mtamu......