Mke wa mtu.

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,724
Hi..
Tokea zamani kuna msemo kwamba mke wa mtu ni mtamu...Je kuna ukweli katika Jambo hilo? Kama ni kweli, ni kwa vipi anatofautiana na mamsap?
 
MODS muwe mnachuja thread zinazotua hapa. Nyingine haziisaidii jamii hata chembe na hii ni mojawapo..sorry!
 
Huyo mke wa mtu ukimla naye lazima atakuwa anataka kuliwa.....
mkuu siku hizi mjini ndio fashion wake za watu ni kama wamefungwa mashine huko chini zinawatekenya.......kuna mshikaji alikuwa kapanga kuoa kama wiki 2 baadae akawa bar si akaona mke wa rafiki yake anajivinjari na msela tena wamekaa pembezoni mamaa anashika mike ya msela kila wakati......jamaa alihairisha ndoa mpaka leo.....
 
MODS muwe mnachuja thread zinazotua hapa. Nyingine haziisaidii jamii hata chembe na hii ni mojawapo..sorry!

...Mtindiowaubongo huenda nimemuelewa vingine mwalyambi.

Kwa mujibu wa swali lake, yumo katika ndoa. Lakini kun jambo linalomsumbua ndio maana kaliuliza hapa, kwamba iwapo mke wa mtu ni mtamu, iweje atofautiane na (utamu) wa mkewe?

Hi..
Tokea zamani kuna msemo kwamba mke wa mtu ni mtamu...Je kuna ukweli katika Jambo hilo? Kama ni kweli, ni kwa vipi anatofautiana na mamsap?

mwalyambi, kwa kifupi naomba nikujibu;

...ridhika na 'huo' wa Mkeo, usijaribu kutafuta 'tofauti'...kuna UKIMWI!
 
mkuu siku hizi mjini ndio fashion wake za watu ni kama wamefungwa mashine huko chini zinawatekenya.......kuna mshikaji alikuwa kapanga kuoa kama wiki 2 baadae akawa bar si akaona mke wa rafiki yake anajivinjari na msela tena wamekaa pembezoni mamaa anashika mike ya msela kila wakati......jamaa alihairisha ndoa mpaka leo.....

wala simlaumu maana hata mimi nigefanya hivyo hivyo.....
 
Mke wa mtu hafai, kwanza alichonacho mkeo na huyo mke wa mtu naye si hicho hicho?
 
Hi..
Tokea zamani kuna msemo kwamba mke wa mtu ni mtamu...Je kuna ukweli katika Jambo hilo? Kama ni kweli, ni kwa vipi anatofautiana na mamsap?

hehehe mkuu mke wa mtu kweli mtamu na ninakubaliana na wewe kabisaaa ni mtamu haswa unajua hii inatokana na nini kwa sababu mnafanya penzi kwa kificho na kwa wizi na siku zote penzi la kificho yaani la kuibia iwa linakuwa taamu mpaka kupitiliza. Alafu huyo mke wa mtu kuna vitu unakuwa umevutiwa navyo labda mke wako hana alafu isitoshe wake za watu walio wengi maswala ya kujiexpress unajisevia tu tena bila bughudha kama kweli kakupenda yaani kakufia....hawa bada unamega kaskazini na kusi.
 
Wakuu tahadhali mimi mkiniibia shemeji yenu nikikumata utajuuuuuuuuta kunifahamu....inauuma sana unakuta mshikaji mwenyewe yupo yupo tu alafu wadau wanakupa data kamshikaji kanamega wife wako.
 
hehehe mkuu mke wa mtu kweli mtamu na ninakubaliana na wewe kabisaaa ni mtamu haswa unajua hii inatokana na nini kwa sababu mnafanya penzi kwa kificho na kwa wizi na siku zote penzi la kificho yaani la kuibia iwa linakuwa taamu mpaka kupitiliza. Alafu huyo mke wa mtu kuna vitu unakuwa umevutiwa navyo labda mke wako hana alafu isitoshe wake za watu walio wengi maswala ya kujiexpress unajisevia tu tena bila bughudha kama kweli kakupenda yaani kakufia....hawa bada unamega kaskazini na kusi.

Wakuu tahadhali mimi mkiniibia shemeji yenu nikikumata utajuuuuuuuuta kunifahamu....inauuma sana unakuta mshikaji mwenyewe yupo yupo tu alafu wadau wanakupa data kamshikaji kanamega wife wako.

Fidel,
Hebu jisome hapo juu halafu ulinganishe na ulichosema hapa chini in bold!
Kumbuka - Mwosha huoshwa!
Ukichukua vya watu na vyako vitachukuliwa .

Na wewe unapomega vya watu pia unakuwa " kamshikaji" au unadhani wewe thamani yako ni kubwa kuliko ya hao wengine?Ikiwa thamani yako ni kubwa kiivo, basi kaa mbali na vya wenzio.
 
Nashukuru WOS kwa wosia ndo maana mi nikatoa angalizo ni heri nisijue si unajua mkuki kwa nguruwe.......inauuma sana kama wewe ukijua mzee ana mega house girl jilinganishe thamani yako na huyo binti umemtoa kijijini anakuja anakugeuka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom