Utauwawa wewe!Hi..
Tokea zamani kuna msemo kwamba mke wa mtu ni mtamu...Je kuna ukweli katika Jambo hilo? Kama ni kweli, ni kwa vipi anatofautiana na mamsap?
MODS muwe mnachuja thread zinazotua hapa. Nyingine haziisaidii jamii hata chembe na hii ni mojawapo..sorry!
mkuu siku hizi mjini ndio fashion wake za watu ni kama wamefungwa mashine huko chini zinawatekenya.......kuna mshikaji alikuwa kapanga kuoa kama wiki 2 baadae akawa bar si akaona mke wa rafiki yake anajivinjari na msela tena wamekaa pembezoni mamaa anashika mike ya msela kila wakati......jamaa alihairisha ndoa mpaka leo.....Huyo mke wa mtu ukimla naye lazima atakuwa anataka kuliwa.....
MODS muwe mnachuja thread zinazotua hapa. Nyingine haziisaidii jamii hata chembe na hii ni mojawapo..sorry!
Hi..
Tokea zamani kuna msemo kwamba mke wa mtu ni mtamu...Je kuna ukweli katika Jambo hilo? Kama ni kweli, ni kwa vipi anatofautiana na mamsap?
mkuu siku hizi mjini ndio fashion wake za watu ni kama wamefungwa mashine huko chini zinawatekenya.......kuna mshikaji alikuwa kapanga kuoa kama wiki 2 baadae akawa bar si akaona mke wa rafiki yake anajivinjari na msela tena wamekaa pembezoni mamaa anashika mike ya msela kila wakati......jamaa alihairisha ndoa mpaka leo.....
Hii thread sijaona mantiki yake....kwani K zinatofauti ?
Hi..
Tokea zamani kuna msemo kwamba mke wa mtu ni mtamu...Je kuna ukweli katika Jambo hilo? Kama ni kweli, ni kwa vipi anatofautiana na mamsap?
hehehe mkuu mke wa mtu kweli mtamu na ninakubaliana na wewe kabisaaa ni mtamu haswa unajua hii inatokana na nini kwa sababu mnafanya penzi kwa kificho na kwa wizi na siku zote penzi la kificho yaani la kuibia iwa linakuwa taamu mpaka kupitiliza. Alafu huyo mke wa mtu kuna vitu unakuwa umevutiwa navyo labda mke wako hana alafu isitoshe wake za watu walio wengi maswala ya kujiexpress unajisevia tu tena bila bughudha kama kweli kakupenda yaani kakufia....hawa bada unamega kaskazini na kusi.
Wakuu tahadhali mimi mkiniibia shemeji yenu nikikumata utajuuuuuuuuta kunifahamu....inauuma sana unakuta mshikaji mwenyewe yupo yupo tu alafu wadau wanakupa data kamshikaji kanamega wife wako.
MkubwaHii thread sijaona mantiki yake....kwani K zinatofauti ?
tofautimke wa mtu hafai, kwanza alichonacho mkeo na huyo mke wa mtu naye si hicho hicho?