Mke napiga goli moja, mchepuko mpya goli 3-4 kwanini?

Mke napiga goli moja, mchepuko mpya goli 3-4 kwanini?

Hunter hapo kuna kitu hakipo sawa niamini mimi... Anajua kuigiza balaa... Leo anakuwa ME kesho KE...juzi yenyewe alitoa uzi unaomtambulisha kama ni KE leo kajivika majukumu ya ME....inasikitisha..kuna walakini mahali nadhani sio bure
Itqkuwa wanqtumia mke nq mume akaunt moja smphn moja

beef la nani?
 
Kuna waliobarikiwa Mkuu wao wawe na Mbunye ' Ndoa ' waliyoizoea au mpya Mbunye ' Mchepuko ' bao zao ni zile zile tu 7 mpaka 9 kwa kila usiku. Wenyewe wanasema mbele kwa mbele na kanyaga twende!
Ulifikq 45+ 50+ unaanza kutetemeka kama Mohammed aliii

beef la nani?
 
Kila ukifikiria mkeo una mwachia 1500 AFANYE MAARIFA....na mchepuko unamwachia 10000 kwa siku.....kwann Nguvu zisije kwa mchepuko?
 
Yaani alafu unataka mkeo akuheshimu km kichwa? Dharau kwa mke uanziaga hapo maana lazima umridhishi, lazima atoke tu nae apate wa kumkuna vizuri, sasa ww eti unajiita mume au uitwe bwege?

Ukisikia ulimbukeni ndio huu
 
Kwanza mapenzi siyo idadi ya magoli , ukiwa mtalaamu wa kucheza na mkeo na kuandaana vema, goli moja linatosha sana, hilo ndo kosa tunalo fanya wanaume wengi na kibaya zaidi wake zetu hawatuambii kama tumebugi anakà kimya tu, ishu sasa apate mtaaluma hapo umeachwa kaka uwe makini hapo, ila nakuona kama unaharaka kama jogooo wewe
 
Itafika kipindi kwa wiki unampiga shoot moja! Unapoteza interest kwa mkeo pole pole.

Fanya haraka kujijenga kisaikolojia na kuwa karibu na mkeo. Zungumzeni...mpe compliment za kutosha. Ikifika point na yeye akapoteza interest kwako hapo ndani itakuwa balaa. Mtakuwa mnapishana tu kama mazombie.

Wanaume wajanja nje wanaonja...Nyumbani wanakula na kushiba. Heshima yako kama mwanaume inajengwa nyumbani sio huko barabarani.
That's Carter right there...[emoji106]
 
Mchepuko huwa unajua kujishughulisha bana!!

Mlioolewa mmmmh!! Mjifunze kukatika na muwe wabunifu kwenye 5*6
 
Mpo good?

Nawapenda.

Kama head inavoeleza hapo.

Nimebaini nikitoka nje nanogewa zaidi.

Na pia nikitoka kidogo nje ya ndo nikirudi kwa wife namfeel tena utamu unazidi.

Kwanini?

Vipi, anayekutwa na same situation au related to, atujuze kidogo.

😀😀😀😀😀😀 tupo wengi mkuu
 
Mkuu mleta mada wala usiwe na wasiwasi kupata bao moja Kwa mkeo that is the best practice Kwa wanaume wengi waliomo Kwenye ndoa! Wakati mwingine wanachochangia humu sicho wanachokiishi kivitendo ! Ni wazi kuwa uzoefu unaonesha wanaume wengi huishia bao moja tu Kwa wake zao wa ndoa! Ila nakushauri na kukusihi uachane na tabia Za kuchepuka siyo nzuri! Inawezekana kuishi na mkeo bila kuchepuka na utakuwa ukimfurahia Mke wa ujana wako Siku zote!
 
Hivi hizi bao mnapigaga every one minute nini??? Mimi kwangu bao la kwanza ni 30 min la pili ongeza one hour Kama ni michepuko tayari keshakojoa Kama Mara nne hivi.
 
Mpo good?

Nawapenda.

Kama head inavoeleza hapo.

Nimebaini nikitoka nje nanogewa zaidi.

Na pia nikitoka kidogo nje ya ndo nikirudi kwa wife namfeel tena utamu unazidi.

Kwanini?

Vipi, anayekutwa na same situation au related to, atujuze kidogo.
siku ya kwanza kwa mkeo ulipiga ngapi? tuanzie hapaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom